Ajali ya basi la Maning Nice

Ajali ya basi la Maning Nice

Madereva wa Maning Nice ni BALAA, wanatumia chini ya saa nane kutoka mtwara-DAR

Mkuu unashangaa kitu gani. Mtwara-Dsm ni umbali usiozidi km 500. Mwendo wa kawaida hii ni safari ya saa 7 tu umefika mwisho wa safari. Nakumbuka barabara hii ina traffic ndogo sana.
 
Mtoa mada tunaomba ufafanuzi kidogo.
Hii Manin'g nice imefunguliwa leseni ya usafirishaji kwa mikoa ya Lindi na Mtwara?
Nilileta hapa jamvini habari za kufungiwa kwa kampuni hii kwa mikoa tajwa hapo juu.
Wameshaifungulia leseni?
 
Hakuna kazi ngumu kama ya kuendesha basi ukienda pole pole watasema hili basi halifai ukienda mwendo wa kasi Abiria hufurahi lakini ngoja itokee Ajali kila mtu atakuruka na kuanza kulalamika kuwa dereva alikuwa akaenda mwendo kasi.

Kutembea masaa saba Mtwara kwa sasa ni mwendo wa kawaida kabisa maana kwa Hesabu za haraka hapo dereva anatembea kilometers 80 kwa saa
 
Back
Top Bottom