Malignant Tumor
Senior Member
- Apr 12, 2013
- 190
- 99
Kumetokea ajar ya bas la maning nice linalo fanya safar za Dar Masasi, thanks God hakuna aliyepoteza maisha, chanzo ni uterezi
Mbona barabara inaonekana iko vizuri tuu..?! Huo bana ni uzembe wa dereva hapo,mambo ya kukesha kwenye ma-club,unaamka na mausingizi then unaenda kuendesha gari..Afungwe huyo
Mbona barabara inaonekana iko vizuri tuu..?! Huo bana ni uzembe wa dereva hapo,mambo ya kukesha kwenye ma-club,unaamka na mausingizi then unaenda kuendesha gari..Afungwe huyo
Mbona barabara inaonekana iko vizuri tuu..?! Huo bana ni uzembe wa dereva hapo,mambo ya kukesha kwenye ma-club,unaamka na mausingizi then unaenda kuendesha gari..Afungwe huyo
Sawa inawezekana kuna uzembe lakini kuna sababu nyingine mfano utelezi wa lami,utelezi wa mafuta kama kulitokea ajali mafuta yakamwagika,nk.
Kumetokea ajali ya basi la maning nice linalofanya safari za Dar- Masasi, thanks God hakuna aliyepoteza maisha, chanzo ni uterezi.
Kumetokea ajali ya basi la maning nice linalofanya safari za Dar- Masasi, thanks God hakuna aliyepoteza maisha, chanzo ni uterezi.
Madereva wa Maning Nice ni BALAA, wanatumia chini ya saa nane kutoka mtwara-DAR
Kibelloh ni swahiba wake JK. Kibelloh alipandishwa cheo kuchukua nafasi ya Balozi Mtango, "mkorofi" aliyesafisha uchafu uliachwa na Diria na Msabaha wizara ya mambo ya nje.
Kuna watu ambao hawakupenda utendaji kazi wa Mtango. Inasemekana hiyo ndiyo sababu ya kupelekwa Japan "kupumzika." Mtango aliwapa taabu sana wazembe wizara ya mambo ya nje kwasababu ya kuwaburuza. Ilifikia kipindi akapachikwa jina Mussollini[Dikteta wa Italy.]
Hizi habari mbona zinatuchanganya? Juzi kuna mtu alileta uzi hapa kuwa sumatra wamefungia leseni ya maningnice kwa sababu ya ajali iliyotoke huko kusini then leo inainekana wako barabarani tena? Au jamaa alikuwa anatuongopea?
hata mi ndo nashangaa hapo tu.mana walisema imegonga bodaboda na kuua hivyo ikabd wafungiwe.Hizi habari mbona zinatuchanganya? Juzi kuna mtu alileta uzi hapa kuwa sumatra wamefungia leseni ya maningnice kwa sababu ya ajali iliyotoke huko kusini then leo inainekana wako barabarani tena? Au jamaa alikuwa anatuongopea?
hii habari inarudiwa mkuu