mimi nilikuwepo tanker lilkuwa linatoka ubungom kuelekea buguruni kufika kituo cha daladala cha riverside likakuta daladala limepaki njiani na kwa kuwa lilikuwa mwendo kasi likashindwa kufunga breki likapanda ukuta na kugonga gari zilizo kuwa kwenye foleni zinatoka buguruni kuja ubungo,yule mwenye daladala mwenye makosa kakimbia,ajali ni mbaya sana kuna mama kakatika kichwa hapohapo,lecturer mmoja wa chuo kikuuu namfahamu kwa sura amepona pia ila amenusurika na gari yake.