kila kitu madereva mara nyengine ma breki tu yanabuma,matajiri wagumu kufanya service za gari hata wakiambiwa kuwa gari ina tatizo hawaelewi,daladala za mjini huwa zinaendeshwa kimiujiza breki za kuchochea,taa za breki nyuma haziwaki(wakati ndio alama muhimu ya kumshtua anaekuja nyuma kuwa wa mbele kasmama au yupo katika harakati za kusimama)
yote haya yaangaliwe ili kuepusha ajali!