Chibidu
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 387
- 49
Kuna taarifa kuwa kuna ajali imetokea Makutano ya Tabata relini. Roli la mizigo limegonga daladala ya Ubungo Tabata watu kadhaa wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa. Dereva wa Roli inasemekana amekimbia. Mwenye taarifa zaidi atupatie tuweze kupata taarifa zaidi za ajali hiyo.
Chanzo: Habari kwa ufupi Radio One (saa nne asubuhi)
Chanzo: Habari kwa ufupi Radio One (saa nne asubuhi)