Ajali Raha Leo mto Wami

Ajali Raha Leo mto Wami

DIUNATION

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
2,625
Reaction score
1,780
Kuna jamaa yangu anaendesha gari ya mizigo kaniambia basi la rahaleo limetumbukia mto wami.Kama una habari yoyote tujuze zaidi wakuu.
 
Kwa nini mnaleta habari ambazo hazijathibitishwa?
 
Mimi nipo TANGA karibu na mmiliki wa Rahaleo. Habari hizo ni uzushi mtupu pia kuna askari wa usalana barabarani wa pale wami nimesiliana nae amenithibitishia kua hakuna ajali kama hiyo.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Ingekuwa kweli radio one wangeshatujuza.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Ingekuwa kweli radio one wangeshatujuza.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

Kwani radio one ndiyo specialist wa habari za ajali? Au wanarusha matangazo kutoka wami?
 
Hakuna habari yoyote ya kutumbukia kwa gari la Rahaleo au kupata ajali wami. Ni uzushi wa kupuuzwa.
 
Mimi nipo TANGA karibu na mmiliki wa Rahaleo. Habari hizo ni uzushi mtupu pia kuna askari wa usalana barabarani wa pale wami nimesiliana nae amenithibitishia kua hakuna ajali kama hiyo.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Ni kweli nimewasiliana na Tanga stendi yote hakuna habari kama hiyo.
 
Mimi nipo TANGA karibu na mmiliki wa Rahaleo. Habari hizo ni uzushi mtupu pia kuna askari wa usalana barabarani wa pale wami nimesiliana nae amenithibitishia kua hakuna ajali kama hiyo.

Alhamdulillah tumshukuru Mwenyezi Mungu kwani ajali ya aina hiyo ingekuwa mbaya sana.

Pia tuna ndugu zetu wako safarini kuelekea Tanga kwa hivyo mulituweka roho juu.
 
Source ni mimi mwenyewe nimepita hapo sasa hivi,sijasimama kuchukua taarifa za madhara sababu na mimi nina mgonjwa nakimbia kuokoa maisha yake.
 
...ooops its so sad,may God help them...
 
Duh IDD ishakuwa msiba kwa ndugu zetu! hivi hawa wenye mabasi hawa madereva wanawatoa wapi? kuna mabasi kila siku utayasikia yamepata ajali!
 
Back
Top Bottom