mwarobaini ni sisi raia kumrudia mungu kwani ajali nyingi sasa ni kutokana na watu kusahau mungu yu wapi! watu wanatoana makafara tu barabarani tena sana, asilimia 95 za ajali kwa sasa ni watu kujumlishia na ushirikina, sasa si dhani kama hawa wakina mwema hapa watakuwa na uo mwarubaini, watz tumekuwa na roho maya ni kuuana tu sikuizi kishirikina hasa kwenye haya maajali ya barabarani na ukitafuta sababu ya ajali unaweza ukashangaa kama kweli ndio ilo sababisha yote hayo, sasa wengine wanaomiliki mabus ya usafiri ni lazima anaamini atoe kafara watu, sasa hapa wakina wakyembe wanafanyaje? au waanzishe kila bus na vyombo vingine vya usafiri viwe na watu wa ibada na nyenzo mablimbali za ibada kwa dini zote umo ndani, labda itasaidia