Hivi huyu mchawi umkute mchana kavaa dera utachomoka kweli?? Tunalalamika matatizo ya nguvu za kiume kumbe tuna paramia Michawi tunalala nayo Inatunyoosha..
Sema hapo sjui kesi yke itakuaje na mlalamikaji ni nani na atashtakiwa kwa kosa gani? Siku nyingine ajifunze kufanya service gari lake mambo yakuweka mafuta ya kupima ndo hayoooo...
Sema kanona jamani