The Professor JF-Expert Member Joined Apr 30, 2013 Posts 2,223 Reaction score 4,580 Jun 19, 2019 #181 Hapo ndio nimekusoma mzee, kama una connection nao si wapange wapige pesa bank uje hata utukopeshe jf Mshana Jr said: Damu inatumika kidogo sana... Hawaanguki bali chombo hukosa nguvu na kurudi chini... Anguko halisi halizidi mita moja Click to expand...
Hapo ndio nimekusoma mzee, kama una connection nao si wapange wapige pesa bank uje hata utukopeshe jf Mshana Jr said: Damu inatumika kidogo sana... Hawaanguki bali chombo hukosa nguvu na kurudi chini... Anguko halisi halizidi mita moja Click to expand...
The Professor JF-Expert Member Joined Apr 30, 2013 Posts 2,223 Reaction score 4,580 Jun 19, 2019 #182 sema na unene wote huo ungo ukambeba noma sana DOUGLAS SALLU said: Landing gear ili jam. Click to expand...
sema na unene wote huo ungo ukambeba noma sana DOUGLAS SALLU said: Landing gear ili jam. Click to expand...
Hashpower7113 JF-Expert Member Joined Sep 26, 2011 Posts 1,353 Reaction score 2,144 Jun 19, 2019 #183 Mkuu naomba namba ya dada mchawi nataka nimfanyie maombi maalum, amen!
Kiminyio 01 JF-Expert Member Joined Aug 3, 2018 Posts 1,399 Reaction score 2,035 Jun 19, 2019 #184 Mshana Jr said: Ndio ataenda au utakamatwa kwakuwa Jamhuri haiamini katika uchawi na vilevile hakuna utambulisho wa mchawi Click to expand... Kuna ndumba za aina yeyote ambazo zikifanyika mchawi aangukie chumbani kwangu?
Mshana Jr said: Ndio ataenda au utakamatwa kwakuwa Jamhuri haiamini katika uchawi na vilevile hakuna utambulisho wa mchawi Click to expand... Kuna ndumba za aina yeyote ambazo zikifanyika mchawi aangukie chumbani kwangu?
Black Sniper JF-Expert Member Joined Dec 10, 2013 Posts 34,434 Reaction score 59,295 Jun 20, 2019 #185 Libenna said: Ni kweli au unatania? Click to expand... Hata mimi sijawahi kuona mtu anaanguka kutoka juu havunjiki hata kidole Huwa najiuliza wanatuaje?
Libenna said: Ni kweli au unatania? Click to expand... Hata mimi sijawahi kuona mtu anaanguka kutoka juu havunjiki hata kidole Huwa najiuliza wanatuaje?
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 361,112 Reaction score 831,785 Jun 20, 2019 Thread starter #186 Alawido said: Kuna ndumba za aina yeyote ambazo zikifanyika mchawi aangukie chumbani kwangu? Click to expand... hakuna
Alawido said: Kuna ndumba za aina yeyote ambazo zikifanyika mchawi aangukie chumbani kwangu? Click to expand... hakuna
Mwamba028 JF-Expert Member Joined Nov 15, 2013 Posts 4,648 Reaction score 3,807 Jun 20, 2019 #187 Aisee!! Ana tako
Donnie Charlie JF-Expert Member Joined Sep 16, 2009 Posts 18,556 Reaction score 21,694 Jun 20, 2019 #188 Libenna said: Hio sio kachaniwa na wahuni wakati wanatafuta hirizi.. Click to expand... 😀 😀 😀 😀
N nguvu JF-Expert Member Joined Jun 13, 2013 Posts 24,089 Reaction score 23,705 Jun 20, 2019 #189 Libenna said: Naomba kuuliza hivi inakuaje mchawi anaanguka na ungo, pia kama anaanguka nao kutoka juu mbona hua hawafi wala kuvunja hata miguu? Click to expand... Nafikiri wanakuwa wametua na si kuanguka tatizo wanatua kwenye viwanja visivyo ruhusiwa kutua
Libenna said: Naomba kuuliza hivi inakuaje mchawi anaanguka na ungo, pia kama anaanguka nao kutoka juu mbona hua hawafi wala kuvunja hata miguu? Click to expand... Nafikiri wanakuwa wametua na si kuanguka tatizo wanatua kwenye viwanja visivyo ruhusiwa kutua
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 49,975 Reaction score 75,063 Jun 20, 2019 #190 BAK said: Kwanini mtu aamue kuwa mchawi/mwanga ili kuwadhuru binadamu wenzie!? Kuna faida gani ya kuwa mchawi/mwanga hadi mtu mwenye akili yake aamue kujiingiza huko? Mshana Jr Click to expand... Hobby
BAK said: Kwanini mtu aamue kuwa mchawi/mwanga ili kuwadhuru binadamu wenzie!? Kuna faida gani ya kuwa mchawi/mwanga hadi mtu mwenye akili yake aamue kujiingiza huko? Mshana Jr Click to expand... Hobby
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 49,975 Reaction score 75,063 Jun 20, 2019 #191 Glenohumeral joint said: Duuuh huo mtako n amshaaaaa.....napenda tako kubwa kama hilooooo....linanesanesa .... Click to expand... Ndiyo maana wanaume tunakufa mapema.
Glenohumeral joint said: Duuuh huo mtako n amshaaaaa.....napenda tako kubwa kama hilooooo....linanesanesa .... Click to expand... Ndiyo maana wanaume tunakufa mapema.
santos da silva Member Joined Sep 12, 2018 Posts 30 Reaction score 86 Jun 20, 2019 #192 ivi inakuje mpaka huko juu anapata accident
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 361,112 Reaction score 831,785 Jun 20, 2019 Thread starter #193 santos da silva said: ivi inakuje mpaka huko juu anapata accident Click to expand... Lack of perfection
santos da silva said: ivi inakuje mpaka huko juu anapata accident Click to expand... Lack of perfection
M Mfiaukweli JF-Expert Member Joined Aug 30, 2018 Posts 5,636 Reaction score 8,777 Jun 20, 2019 #194 Mshana Jr said: . View attachment 1130855 Click to expand... Mshana ndugu yangu; hivi hatuwezi kuuza hii teknolojia nje ya nchi?
Mshana Jr said: . View attachment 1130855 Click to expand... Mshana ndugu yangu; hivi hatuwezi kuuza hii teknolojia nje ya nchi?
M Mangi Mlay JF-Expert Member Joined Dec 18, 2016 Posts 5,743 Reaction score 7,091 Jun 20, 2019 #195 cute b said: Aseeee! Sasa alivyo chibonge anapaaje na ungo. hazard cfc uje umuone Chi chibonge wako. Click to expand... Kama Airbus 350
cute b said: Aseeee! Sasa alivyo chibonge anapaaje na ungo. hazard cfc uje umuone Chi chibonge wako. Click to expand... Kama Airbus 350
Muuza simu used JF-Expert Member Joined Aug 23, 2017 Posts 4,393 Reaction score 7,101 Jun 20, 2019 #196 Mchawi ana shepu hapo Kama Mimi siiti hata majirani namalizana nae mwenyewe na namba ya Simu nachukua Mshana Jr said: . View attachment 1130855 Click to expand...
Mchawi ana shepu hapo Kama Mimi siiti hata majirani namalizana nae mwenyewe na namba ya Simu nachukua Mshana Jr said: . View attachment 1130855 Click to expand...
Iselamagazi JF-Expert Member Joined Sep 26, 2011 Posts 6,083 Reaction score 6,234 Jun 21, 2019 #197 Patema said: RTO Click to expand... Duuh!
Iceberg9 JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 26,885 Reaction score 51,711 Jun 21, 2019 #198 Hivi wachawi hawa wanaoanguka wakianguka hivi,si nguvu zao ndiyo zinaishia hapo hapo au wanaenda ku renew nguvu upyaaaa
Hivi wachawi hawa wanaoanguka wakianguka hivi,si nguvu zao ndiyo zinaishia hapo hapo au wanaenda ku renew nguvu upyaaaa
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 361,112 Reaction score 831,785 Jun 21, 2019 Thread starter #199 Mfiaukweli said: Mshana ndugu yangu; hivi hatuwezi kuuza hii teknolojia nje ya nchi? Click to expand... Ngoja kwanza tuikamilishe iwe fit
Mfiaukweli said: Mshana ndugu yangu; hivi hatuwezi kuuza hii teknolojia nje ya nchi? Click to expand... Ngoja kwanza tuikamilishe iwe fit
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 361,112 Reaction score 831,785 Jun 21, 2019 Thread starter #200 toxic9 said: Hivi wachawi hawa wanaoanguka wakianguka hivi,si nguvu zao ndiyo zinaishia hapo hapo au wanaenda ku renew nguvu upyaaaa Click to expand... Itachukua muda sana hasa kama si mzoefu
toxic9 said: Hivi wachawi hawa wanaoanguka wakianguka hivi,si nguvu zao ndiyo zinaishia hapo hapo au wanaenda ku renew nguvu upyaaaa Click to expand... Itachukua muda sana hasa kama si mzoefu