AJALI: Msafara wa Prof. Muhongo wapata ajali

 
Poleni sana wote mliopata ajali.Mlikuwa kazini na Mungu atawalinda.Amen
 
Na wanavyotokaga nduki vile!!, mbona hatari
 
Nampa pole yake hata kama simkubali
 
Hivi hata waziri anakuwa na msafara?? Si walituambia wanabana matumizi??? Hii nchi bhana!!!!
 
Hakika Mungu ni mwema wakati wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…