Umekimbilia kucommentsHabari yako Haijajitosheleza kabsa.haujaeleza kama kuna aliyefariki au majerui!chanzo cha ajili,picha kusapoti habari e.t.c.
Comment wewe mkuu basi!Umekimbilia kucomments
Habari yako Haijajitosheleza kabsa.haujaeleza kama kuna aliyefariki au majerui!chanzo cha ajili,picha kusapoti habari e.t.c.
bodaboda ndio imekufa. hahahaaaaHabari yako Haijajitosheleza kabsa.haujaeleza kama kuna aliyefariki au majerui!chanzo cha ajili,picha kusapoti habari e.t.c.
Badala ya kusaidia wewe unachukua video ?Habari wana JF imetokea ajali mbaya muda huu barabara kuu hapa Phantom Kahama mjini iliyohusisha bodaboda na Pickup nimechukua clip imenizingua ku upload nafanyeje?
Badala ya kusaidia wahanga,unahangaika kutuma clip dunianiHabari wana JF imetokea ajali mbaya muda huu barabara kuu hapa Phantom Kahama mjini iliyohusisha bodaboda na Pickup nimechukua clip imenizingua ku upload nafanyeje?
imekufa boda boda kwa kukwepa kodiKwa hiyo dereva wa Bodaboda kapona ila bodaboda yake ndiyo imekufa

Mwenzio amejwambia ajali imeuwa bodaboda.alaf hapo hapo unamuukiza tena kama hyo ajali imeuwa.ulikuwa haujasoma post yake?Comment wewe mkuu basi!