Babjaj
Member
- Apr 22, 2012
- 53
- 6
leo majira ya saa 4.00 asbh kumetokea ajali mbaya ya basi la nbs linalotokea tabora kwenda arusha, basi hilo lilipasuka taili la mbele na kugonga mti na kuung'oa na kisha kupinduka, hadi sasa kuna maiti sita zilizowasilishwa mortuari na dereve wa gari hilo pia ni marehemu ila bado maiti yake haijatolewa kwani amebanwa hadi basi hilo likatwe ndiyo atolewe View attachment 53202View attachment 53203View attachment 53204View attachment 53204
poleni sana