Ajali mbaya ya basi la NBS - Igunga

Ajali mbaya ya basi la NBS - Igunga

mbona mnatuchanganya, hapa hapa ndani kuna sredi nyingine inasema ajali hiyo ni ya basi la MOHAMED TRANS lililotokea Mwanza hebu wekeni mambo sawa

lakini mkuu hiyo picha si inaonyesha kuwa ni NBS?
 
Hivi hapa ni kosa la mwendo kasi au ubovu wa gari? Tusichukulie kila ajali ni mwendo kasi pia tufanye assessment ya ubora wa magari jamani!!!
 
mbona mnatuchanganya, hapa hapa ndani kuna sredi nyingine inasema ajali hiyo ni ya basi la MOHAMED TRANS lililotokea Mwanza hebu wekeni mambo sawa

Tazama picha ya kwanza hapo juu utajua ni basi gani
 
nawapa pole sana waliopoteza ndugu zao na pia mungu aziweke roho za marehemu mahala pema peponi amen.
 
nbs au mohamedi? Ipi taarifa sahihi.
.
attachment.php
 
poleni sana sana wafiwa
Mungu azipumzishe roho za marehem mahali pema
 
Poleni sana Mungu awapokee na awarehemu
TBS inatabeba damu za watu wanaoendelea kupoteza maisha kwa ajili ya 10% kwa kuwaruhusu watu kuingiza matari feki.Hizo pesa wanazopokea watakufa wataziacha,watu wanawasaidia wazungu kuanzisha mbuga huko majuu ili wazungu wasije,Maige na Tbs wamoja tuu
TUKIFUFUE KIWANDA CHA MATAIRI CHA ARUSHA
 
poleni wafiwa wote.ila wamiliki wa magari na madereva kuweni makini jamani vitu vingine vinaepukika.
 
Kweli ni ajali mbaya sana, Mungu awasaidie majeruhi na tuzidi kutoa ushauri kwa madereva wetu kuongeza umakini barabarani.
 
Matairi ya TBS ya Elekege yatamaliza watu. Ni muhimu sana kuanzisha operation maalum ya kukagua matairi ya mabasi yote ya abiria hasa yale yanayofanya safari za mikoani ili kunusuru maisha ya watu. Na pia ukaguzi wa matairi yanayoingizwa nchini uangaliwe tena upya. RIP wasafiri wa NBS.
 
Poleni sana wafiwa na roho za marehemu zilazwe pema peponi.
 
pole kwa wale wote waliojeruhiwa kwenye hii ajali
 
Poleni ndugu,,,,
Ila mwanzo wa mwezi huu, si kafara lakini? Maana basi ya TZ kwa kutoa kafara ndo yenyewe
 
Jamani poleni sana mliofikwa na madhila haya. Mungu azilaze roho za wote aliofikwa na mauti mahali pema peponi. Amen.
 
Kuna mambo Mengi kwa hawa wamiliki wa Magari Ambapo Polisi Hawajui!! And any other ila wachache!! Haya Magari yanayokuja kama scrapers Kutoka Ulaya Yanakuwa Yamebebeshwa Matairi Mengi sana ambayo Yote Yankuwa Yamekwisha expire!! Sasa Hawa Wamiliki wanakuwa na roho Ngumu Huwa wana Tabia ya Kuyatumia na hadi Kama Hivyo wanaita Bahati Mbaya!! Eh Mungu Terehemu!!
 
Back
Top Bottom