NAMTUMBA
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,939
- 600
Habari wapendwa katika Bwana
Kuna ajali imetokea Tazara karibia na mataa ya Tazara Bakhresa kuna binti amegongwa na Lori la mizigo. Kichwa chote kimesagika kwakuwa tairi zimepita kichwani hivyo kichwa kimetoka kabisa hivyo hajulikani. Polisi wamezuia kuchukua picha lakini alikuwa amevaa simpo nyeusi. Nguo hazitambuliki. Anaonekana kwa kukisia ni kama binti wa miaka 12-17 hivi.
Chanzo cha ajali alikuwa anajaribu kupanda daladala iliojaa kupita kiasi konda akamshusha kwalengo lakunguza abiria bahati mbaya akadondoka ndipo Lori likamkanyaga.
Kuna ajali imetokea Tazara karibia na mataa ya Tazara Bakhresa kuna binti amegongwa na Lori la mizigo. Kichwa chote kimesagika kwakuwa tairi zimepita kichwani hivyo kichwa kimetoka kabisa hivyo hajulikani. Polisi wamezuia kuchukua picha lakini alikuwa amevaa simpo nyeusi. Nguo hazitambuliki. Anaonekana kwa kukisia ni kama binti wa miaka 12-17 hivi.
Chanzo cha ajali alikuwa anajaribu kupanda daladala iliojaa kupita kiasi konda akamshusha kwalengo lakunguza abiria bahati mbaya akadondoka ndipo Lori likamkanyaga.