Kuna yule aliyejirekodi mpka akafariki
Mmarekani hivi et
Yupo
""Look OMG something black is coming i see it
Meeeen am going to die O lord am comin
Please share this on my instagram""
hata hajataja user name mchizibot akakata kamba....na simu ikawa giza kama 1Hr hv mara anakuja mtu anamwamsha dah wanaanza kulia hapa bado simu ipo giza haionyeshi kitu...wanasikika watu wakisema he is gone !..Oh God
Mwenyezi mungu Asimame pamoja nasi.Ni hatari sana.
Jana nilikuwa kliniki ya Moyo, JKCI basi kuna jamaa aliandikiwa Kufanyiwa vipimo vya ECG na ECHO!
Inaonesha wakati akifanyiwa hivyo vipimo mke wake alikuwa ana piga picha. Baadaye akaanza kurusha kwenye 'social media'
Kuna mama alikuwa anapiga mwili wa marehemu ukiandaliwa kwa ajili ya maziko.
Watu wanatoa wapi hizi tabia za kufanya kila kitu cha kuonwa na public
Simu zinawaendesha vibayaNi kweli mkuu kwenye serious issue watu hawapo serious.