Naibili
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 1,878
- 1,060
bado kuna watu hawaelewi UBUNGO IKO UPANDE GANI MWA DAR ES SALAAM
si kila kitu lazima ujue
bado kuna watu hawaelewi UBUNGO IKO UPANDE GANI MWA DAR ES SALAAM
we nawe vipi!mimi au hao wanaokuja na comment za kuponda?
Hapo umemaliza.Haya Matokeo ya form four yamewaathiri hata watu wazima
hehehehhee,u mean na mtoa uzi nae ana zero,,,,????
swadakta,ila hata kama angetulia angeandika kama alivyoandika,,,,,,,
Haya Matokeo ya form four yamewaathiri hata watu wazima
Kuna ajali mbaya imetokea Sam Nujoma karibu kabisa na jengo la mawasiliano. Gari moja zimehusika moja kwa hakika ikiwa na gari ya abiria. Najaribu kutafuta habari zaidi na mwanya wa picha. Hope Mungu amelinda uhai. Poleni sana wanandugu
waje dsmasante kwa taarifa ....ila kwa walio mikoani hawaelewi sam nujoma ni wapi dar, arusha, au nairobi? poleni waathirika
umemaliza form four mwaka jana????
kwa hiyo unasema ni mungu kakuepusha !!1katoe ushuhuda kanisaniIle dala dala imeniacha ubungo halafu nikapanda ya nyuma yake. Nimeshangaa kuikuta imelala barabarani huku bado inanguruma. Ilikuwa imejaa sana sana na pengine ikawa imeua watu wengi sana.
kuna nini chakushukuru ulichokiona hapo juuu????umeelewa nini mtu anaandika habari kama kakamatwa ugoni vile mtu hajasema ni magari ya aina gani yamegongana ,chanzo cha ajali!!ninini wamekufa watu au la wamenusurika au la ,majeruhi au la wewe unatetea unadhani wote tunakaa pande za huko wwewe mtu wa gongolambota atapataje hiyo khabari .kaandika utumo tu fyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuJamani tujaribu kuwa waungwana,unapopata habari kam hiyo, jaribu na wewe kutoa habari na sio kuponda tu pasipo kuwa na msingi,ni swala la kumshukuru mtoa habari kisha nawe uzidi kufatilia habari hiyo katika vyanzo vingine kaa hujaridhika na taarifa yake,nadhani hiyo ni njia pekee ya kutakakujua jambo kiundani zaidi,na sio kuishia kuponda tu,maana wote tunafahamu mazingira ya ajali yanvyokuwaga,watu hupata mshituko
hataukitizama breaking news kwa mara ya kwanza huwa ni habari ambayo haija haririwa ,so kwa upande wangu mtoa taarifa yupo sahihi tu hapo hakuna cha form four wala form six.
Kaka, usimlaumu. Ndio nchi ilipofika. Rejea matokeo ya form four ya mwaka 2012. Hao waliopata zero ndio wachangiaji wa JF.
Huu sasa ni upuuzi.bado kuna watu hawaelewi UBUNGO IKO UPANDE GANI MWA DAR ES SALAAM
bado kuna watu hawaelewi UBUNGO IKO UPANDE GANI MWA DAR ES SALAAM
Hata hueleweki.