Ajali mbaya Sam Nujoma

Ajali mbaya Sam Nujoma

Crocozilla

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
469
Reaction score
335
Kuna ajali mbaya imetokea Sam Nujoma karibu kabisa na jengo la mawasiliano. Gari mbili zimehusika moja kwa hakika ikiwa ni gari ya abiria. Najaribu kutafuta habari zaidi na mwanya wa picha. Hope Mungu amelinda uhai. Poleni sana wanandugu
 
Ile dala dala imeniacha ubungo halafu nikapanda ya nyuma yake. Nimeshangaa kuikuta imelala barabarani huku bado inanguruma. Ilikuwa imejaa sana sana na pengine ikawa imeua watu wengi sana.
 
Ile dala dala imeniacha ubungo halafu nikapanda ya nyuma yake. Nimeshangaa kuikuta imelala barabarani huku bado inanguruma. Ilikuwa imejaa sana sana na pengine ikawa imeua watu wengi sana.

pole sana..
 
asante kwa taarifa ....ila kwa walio mikoani hawaelewi sam nujoma ni wapi dar, arusha, au nairobi? poleni waathirika
 
Kuna ajali mbaya imetokea Sam Nujoma karibu kabisa na jengo la mawasiliano. Gari moja zimehusika moja kwa hakika ikiwa na gari ya abiria. Najaribu kutafuta habari zaidi na mwanya wa picha. Hope Mungu amelinda uhai. Poleni sana wanandugu
cocozilla, punguza mawenge, jipange utusimulie vizuri.
Pole sana kwa mshituko wa ajali
 
Last edited by a moderator:
Huwezi jua mtu yuko katika situation gani wakati anatoa taarifa, subirini mpewe habari kamili akitulia mazee

Basi angekaa kimya mpaka muda atakao tulia ndio atupe habar vizur

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Kuna ajali mbaya imetokea Sam Nujoma karibu kabisa na jengo la mawasiliano.Gari moja zimehusika moja kwa hakika ikiwa na gari ya abiria. Najaribu kutafuta habari zaidi na mwanya wa picha. Hope Mungu amelinda uhai. Poleni sana wanandugu
umemaliza form four mwaka jana????
 
asante kwa taarifa ....ila kwa walio mikoani hawaelewi sam nujoma ni wapi dar, arusha, au nairobi? poleni waathirika

Sam nujoma ni dar mkuu, ni. barabara ya kutokea ubungo kuelekea mwenge

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom