Ajali mbaya Mbezi Luguruni mida hii

Pelly

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2013
Posts
286
Reaction score
363
Habari za muda huu,

Kuna habari mbaya ajali kimetokea Mbezi Luguruni jirani kabisa na ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, mida hii school bus limelikwepa gari ya mizigo iliyosimama ghafla KWENYE mataa na kuwagonga wa fanya biashara na bodaboda na bajaj, hivi natokea Mloganzila walipoletwa majeruhi kama kumi habari na picha njtawaletea ikifika Luguruni..
 
Kwahyo unataja idadi ya majeruhi kwa habari za kuambiwa? Poleni wote mliofikwa na janga hilo
 
Uchaguzi huu ccm watatumaliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…