Tomaa Mireni
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 2,406
- 2,413
Eneo la Mbagala .
Wawili wahofiwa kupoteza maisha wakiwa kwenye bajaji
poleni sana aiseeKama kuna kreni serikali itoe haraka ili kufungua njia ya kwenda Mbagala
View attachment 3291326View attachment 3291328
Dereva karuka baada ya kuona imemshindaHizi gari nimekutana nazo vikindu zilikuwa 3 zimefuatana aisee speed
AsantePoleni sana
Ila maisha haya...View attachment 3291335 muonekano wa bajaji ndio huo
Mtu kashapiga mahesabu yake kesho anaendelea na ratiba zake alaf anatokea Mseng* mmoja anakuletea Kifo.View attachment 3291335 muonekano wa bajaji ndio huo
Ukiuliza ni gari gani utaambiwa HOWOView attachment 3291320 gari kubwa lililobeba mbolea limehama njia na kuingia upande wa pili.
Eneo la Mbagala .
Wawili wahofiwa kupoteza maisha wakiwa kwenye bajaji
Dereva atakuwa alisinziaHizi gari nimekutana nazo vikindu zilikuwa 3 zimefuatana aisee speed