Ajali mbaya basi la Green Star (Dar - Kahama)

Ajali mbaya basi la Green Star (Dar - Kahama)

poleni wafiwa na jamani hizi ajali zimezidi sana na Mungu aingilie kati.
 
dah! sooo sad.
hivi madereva wa mabasi haya na makoanda wana insurance? na je kampuni huwa inatakiwa imcompasate dereva kama huyu aliyevunjika/kukatika miguu yte miwili??

insurance za magari jaman huwa si walipaji wa majeruhi hivi kweli hao waliokosa viungo watafanyaje?? ama ndo ikithibitika dereva ndo mwenye makosa basi wao wanatoka patupu??

yaani nikipata picha mtu kukosa viungo kwaajali za barabaran naskia kuumwa.

poleni sana sana ndugu zangu mliojeruhiwa.
 
basi hilo lilikua linatokea Dar kwenda Kahama, dereva alikuwa anaovertake roli akakutana uso kwa uso na lory lilokuwa limesheheni mbao.

Takriban watu wawili wamefariki papo hapo na majeruh wengi tu wamekatika viungo vyao.

Source: Mimi mwenyewe safarini Kagera

...........Poleni sana.... R. I. P waliofariki...
 
Hapo kwenye red ndo pametambulisha wewe unani, coz mtu wa kabila lingine asingesema anakoelekea angeishia tu source ni yeye mwenyewe yupo safarini

pole sana kwa mawazo mgando,kuna shida gani mimi kutaja mahali ninapoelekea?
 
Hawa jamaa wanatembea sana..zile Yotong zao wamefunga difu za scania, zinakimbia ni balaa! Poleni wahanga!
 
dreva na konda wamefia hospita ya mkoa singida na watu wengi 24 waliumia vibaya sana. dreva alilivaa roli lililokua limepaki barabarani. poleni wafiwa na majeruhi wote. mia
 
dreva na konda wamefia hospita ya mkoa singida na watu wengi 24 waliumia vibaya sana. dreva alilivaa roli lililokua limepaki barabarani. poleni wafiwa na majeruhi wote. mia


Ilikua ni usiku???
 
dreva na konda wamefia hospita ya mkoa singida na watu wengi 24 waliumia vibaya sana. dreva alilivaa roli lililokua limepaki barabarani. poleni wafiwa na majeruhi wote. mia
Ndo ujue nchi hii madereva hakuna, yaani lori limepark barabarani halafu dereva wa basi analivaa hilo lori mchana kweupe..!
 
Ndo ujue nchi hii madereva hakuna, yaani lori limepark barabarani halafu dereva wa basi analivaa hilo lori mchana kweupe..!
angepona ningeshauri afutiwe leseni kwa kusababisha ajali ya kizembe namna hii
 
ppicha za ajali
ajali1.jpg ajali2.jpg
ajali3.jpg ajali5.jpg
 

Attachments

  • ajali6.jpg
    ajali6.jpg
    92 KB · Views: 156
Ndo ujue nchi hii madereva hakuna, yaani lori limepark barabarani halafu dereva wa basi analivaa hilo lori mchana kweupe..!

Mkuu we ni dereva.....umewahi kupata ajali?????

Inahitaji kujiuliza sababu za ajali kwa umakini kuliko kudhani ni incompentence ya dereva tuu!!!!!!!!!!!!!!!!!


Sitetei uzembe though.
 
Back
Top Bottom