Ni been driving for past 10 years. Nashindwa kutetea dereva wa basi alivae lori lililopark..! If the lorry was in motion ningefikira tofauti..! Sina mfano hai unaojustify case ya aina hii.! Ni wajibu wa dereva kuepusha ajali hata kama ni ile ya kusababishiwa..!Mkuu we ni dereva.....umewahi kupata ajali?????
Inahitaji kujiuliza sababu za ajali kwa umakini kuliko kudhani ni incompentence ya dereva tuu!!!!!!!!!!!!!!!!!
Sitetei uzembe though.