Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,091
Hili ndilo jibu katika point zote, Traffic jaeakagui mabasi ya Shule. Mabasi yote ya mjini daladala na mabadi ya shule hayana mikanda ya abiria, km ingekuwepo vifo vingepungua, kwani watoto wangebaki kwenye viti, idadi jsingefika hiyo. Mwisho dereva na Basi lenyewe havina uzoefu, mabasi ya mijini vibreki ma vya papo kwa papo, huo Mlima tembo una mwinuko na mteremko mrefu kabla hujafika mteremko mwingine wa ajali ni lazima breki silishakorofishaIngawa gari iliyopata ajali haikuwa "school bus" bali gari ya kukodi,bado kuna umuhimu wa wizara ya elimu kwa kushirikiana na kitengo cha usalama barabarani kuwa na program maalum (mfano kila mwezi) ya kukagua hizi school bus ili kuhakikisha usalama wa watoto,na zisizo na sifa kuwekwa pembeni,na pale gari inapokodiwa kwa kusafirisha wanafunzi ipate kibali cha traffic police baada ya ukaguzi wa kina.