nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,515
- 20,005
wakazi wa kibahasource ya usemi wako pliz
wakazi wa kibahasource ya usemi wako pliz
Jamani bado tu tunaishi kwa imani hizi?
Kwanini usiwaze kuwa magari haya ni mabovu?Au aina ya matairi ni mabovu?Au madereva wa kampuni husika hawana sifa za kuendesha hayo magari?Tuishi kwa kuamini kuwa matatizo yetu yanatatulika na yana chanzo chake ambacho kinaweza kutatuliwa bila kuingiza imani za kishirikina.Tuambie kwa nini iwe mabasi ya Abood tu au Mohamed Trans?
hahahaha wapi shekhe Yahaya? ok itabidi mzee wa upako na walokole wakaiombee majini yatoke! POLENI majeruhikibaha kuna majini mengi sana
source ya usemi wako pliz