wamaukweli
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 1,084
- 1,276
Kutakuwa kunanamna Newforce wanalindwa na wakubw,sio kwa ajali izi jamanukisema NewForce ni gari zinazoendeshwa hivyo na hazifuati sheria za barãbarani mnabisha!
Kutakuwa kunanamna Newforce wanalindwa na wakubw,sio kwa ajali izi jamanukisema NewForce ni gari zinazoendeshwa hivyo na hazifuati sheria za barãbarani mnabisha!
hahahaHuo mtumba mpya wajapan umepelekea kifo
ktk hali kama hiyo ya kupanic ungechukua uamuzi gani...kukwepa kwa kwenda kulia ni kukosa maamuzi ya haraka ya busara...na kaa kungekua kuna gari inakuja nyuma ya bus?
Kama ni dereva utajua nani kamfata mwenzie, angalia uelekeo kwanza kabla ya kupostukiangalia picha huwezi jua maana wote wapo nje ya barabara! si ajabu gari dogo alikua anamkwepa Newforce!
hapa naweza kukujibu tu kulingana na akili yangu imetulia na haina mshtuko,ktk hali kama hiyo ya kuoanic ungechukua uamuzi gani...
Hiyo ni imani yako.Mmiliki kashatoa sadaka kwa aliyempa hizo gari???
Hahahahaaaaa, sasa hilo basi litapitaje upande wa gari nyingine? Km ndivyo alikua anaovateki huyu wa gari dogo aliwezaje kukwepea kulia ilhali kuna gari inayotaka kupitwa na hilo basi?upo site yako ya kushoto unaona bus linatiririka kupitia site ambayo sio yake yaani anapita kulia kwake wewe unafanya maamuz ya ghafla ya kumkwepa kwa kuhamia saiti ya kulia kumbe naye wakati huohuo anaamua kurudi kwenye saiti yake(kushoto kwake) kwasabb wote mpo kwenye kasi mnashindwa kuamua nini cha kufanya na kujikuta mnagomgana...
Halafu familia zao zitaishije mkuu.. Kumbuka hii kampuni ina gari nyingi sana.. Kwa maana hiyo imetoa ajira kwa watanzania wenzetu..HII KAMPUNI IFUNGWE