jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,602
- 3,781
Basi la kampuni ya Jordan limepinduka na kuua watu 8 Kilometa 6 kutoka mji wa Nzega.
Lilikuwa likitokea Mwanza kwenda Moshi.
Lilikuwa likitokea Mwanza kwenda Moshi.
Nimepita eneo la tukio, mtu mmoja ndio amefariki papo hapo wengine majeruhi
Basi la kampuni ya Jordan lenye namba za usajili T650 AQZ, linalofanya safari zake kati ya Mwanza na Moshi limepata ajali maeneo ya Kitangiri, Nzega.Mpaka sasa mtu mmoja amepoteza maisha baada ya kulaliwa na basi hilo.
Basi hilo lililokuwa likitokea Mwanza kwenda Arusha, linaelezwa kuwa lilipinduka baada ya kumshinda dereva katika eneo lenye kona kali.
Mungu tunusuru.
View attachment 243570
View attachment 243571
![]()
![]()