Ajali basi kampuni ya Loliondo

Ajali basi kampuni ya Loliondo

Nilikuwa Mwanza wiki mbili zilizopita nataka kupanda basi la luxury kwenda Arusha.
Nikaambiwa,"Basi unalohitaji wewe ni Loliondo nalo limeshaondoka"
Mabasi haya haya: tunapanda,tunafika salama,lakini baadaye tunasikia basi limeoata ajali mahali fulani.
 
Nilikuwa Mwanza wiki mbili zilizopita nataka kupanda basi la luxury kwenda Arusha.
Nikaambiwa,"Basi unalohitaji wewe ni Loliondo nalo limeshaondoka"
Mabasi haya haya: tunapanda,tunafika salama,lakini baadaye tunasikia basi limeoata ajali mahali fulani.
Mabus ya Loliondo yanayofanya safari za Arusha Mwanza ni Yutong f12 upgrade alinunua mapya alafu zipo loliondo zinazopita hizi njia za vumbi wanaenda loliondo na hizo za ngorongoro strengeti kwenda huko musoma hizo ndo chuma ngumu kumeza ukiiona tu unajua hizi chuma za kazi mfano wa hiyo iliyogonga hapo juu
 
Back
Top Bottom