Ajabu ya wanawake

Ajabu ya wanawake

SAMAHAN KWA KUTOKA NJE YA MADA WAKUU,

Hiv ni kweli kuna uhusiano uliopo kati ya mawingu na uwezo wa kuelewa/fikra/ubongo, ukweli ni kwamb siku ya leo kichwa naona ni kizito sana sio kawaida kbsa sina ninachoelewa, NETWORK haipo kbsa na kila nikijarbu kuelewa ni mwendo wa PLEASE WAIT au CODE ERROR kbsa, sina ninachoelewa sio uzi wala comment na tangu asubuh sina cha msing nilichofanya na watu wawili wameniuliza, mmoja kaniambia "leo mbona sikuelewi" mwingne "leo mbona upo slow sana?" ndo nikaona kbsa kuna kitu kweli, sasa najiuliza ni mawingu au ni ile supu niliyokunywa mgahawan pengne ni ya kondoo au nyumbu, mana kiukweli sikuielewa elewa ila skutaka kujiuliza sana nikahsi pengne ni aina ya mapishi. Napata wasi wasi kwamba pengne hata hapa nimeandka pumb tu,

NOTE: this is SERIAS sitanii kbsa.
Hali hiyo hua n dalili mbaya kw baadhi yetu...Mimi ikinitokea hua napoteza kitu au MTU wa karibu so sku hiz nikiihisi tuu hua naanza kuomba Mungu aepushe balaa
 
Nashukuru kwa mawazo, nimeogopa hata kutoka kbsa nipo ndan tu.
 
manigger everytime i look at them they are like on a race and at war...like i have a real time example...i have my main chick who happens to have a friend who knows everything about our relationship lakin hachoki kuntumia picha zake amekaa sexy sexy yan ningekuwa na roho nyepesi ningekuwa nimeshasmash...i am acting a fool...kwanini asikwende huko akapate dick ya another dude ?...alot of lonely horny niggers out there.....
We nawe unamfurahia kwanini usimpe block..
 
Teh! teh! teh! hii mada tamu sana ebanaaa imebidi nitafute wa kuanzia ili nifanye bandika bandua
 
Ukiwa na kazi kupata kazi ni rahisi sana ila usiwenayo sasa chamoto utakiona. Yapo mengi yanayo changia kwenye hili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom