Ajabu ya wanawake

Ajabu ya wanawake

Hiyo sio kwa wanawake tu hata wanaume ni hivo hivo....
Ukiwa single wapo mbali, ukimilikiwa wanamiminika kama nyuki, barabarani ukiwa mwenyewe hamna shida ukiwa na mme utakonyezwa weee sijui kwanini.
 
Unamwachia Mungu sio madam?? Ukweli vita ya kugombea bwana huwa ni mbaya sana
kapeace ujue me huwa nashangaa na siwaelew wanawake wanaume masingle wako weng and they are very lonely....yan tena wanaugwadu wakufa mtu
 
Mkuu maandiko yalishasema mwenye nacho ataongezewa na asienacho atapokonywa hata kile kidogo...Naona mkuu unataka kupingana na maandiko shauri yako
hhaha mkuu nisipigane nayo si ndio ??
 
know one thing women were born natural competitive, they just earning it!
manigger everytime i look at them they are like on a race and at war...like i have a real time example...i have my main chick who happens to have a friend who knows everything about our relationship lakin hachoki kuntumia picha zake amekaa sexy sexy yan ningekuwa na roho nyepesi ningekuwa nimeshasmash...i am acting a fool...kwanini asikwende huko akapate dick ya another dude ?...alot of lonely horny niggers out there.....
 
Sijaelewa chochote hiyo lugha uliyotumia..
na unataka hilo liwe tatizo langu mkuu ?...ivi kwanini WaAfrica tunapenda matatizo yetu kuyafanya matatizo ya watu wote, kiongozi mtu anaeweza kutatua tatizo lako vizur ni wewe mwenyewe na sio mtu mwingine...ndio kupambana na hali huko kaka...
 
Hiyo sio kwa wanawake tu hata wanaume ni hivo hivo....
Ukiwa single wapo mbali, ukimilikiwa wanamiminika kama nyuki, barabarani ukiwa mwenyewe hamna shida ukiwa na mme utakonyezwa weee sijui kwanini.
hahaha salt..aisee wanawake ndio wamezid yan kama wanapigana WWII
 
manigger everytime i look at them they are like on a race and at war...like i have a real time example...i have my main chick who happens to have a friend who knows everything about our relationship lakin hachoki kuntumia picha zake amekaa sexy sexy yan ningekuwa na roho nyepesi ningekuwa nimeshasmash...i am acting a fool...kwanini
asikwende huko akapate dick ya another dude ?...alot of lonely horny niggers out there.....
Cha mwenzako kitamu
 
kapeace ujue me huwa nashangaa na siwaelew wanawake wanaume masingle wako weng and they are very lonely....yan tena wanaugwadu wakufa mtu
Sisi tukipenda tunapenda kweli si kwamba uko perfect sana au unajua kudomba sana kuliko wanaume wengine ni moyo tu wa demu husika umekudondokea kwahiyo anapambana kuona km anaweza kuwin kwako, tatizo huyo huyo akiona hafanikishi lengo lake yaani akikukatia tamaa huo upendo ukigeuka chuki utaona rangi zote za dunia chunga sana hisia za mwanamke
 
Na hakika utawaka tamaa juu yake nae atakutawala, ni laana tuliyopewa juu yenu siku ile ya Eva kula tunda la mti wa katikati

Hiyo sentensi inayaakisi maisha halisi ya mwanamke Mara tu unapobalehe unaanza kuhisi kutaka mwanaume unaota mume na watoto unaanza kujipendezesha ili umpate mwanaume na ukimpata ni kulinda himaya yako ili bwana asione mwanamke mwingine zaidi yako hali ya ushindani inakuwa kali sana kati ya yule mmiliki na wala sidechicks kila mmoja anataka kumuonyrsha mwenzie kwamba mume ananipenda mimi

Usiombe haohao wakakukatia tamaa utajuta maisha ya kuchanganya wanawake ni hulka yenu ila akikugundua na akachoka anakupangia mashambulizi ya kukuangamiza ni ke wachache ambao huwa tunasema namwachia Mungu lkn waliosalia anakuua au kukuroga na hapo ndo mwisho wako
Ninayo mifano hai ya jinsi wanawake walivyogundua na hatua walizochukua sisi kweli ni nyoka na adui wa mwanamke ni mwanamke
ktk ubora wako!
 
Wadau ivi kwanini ukiwa huna hata mwanamke mmoja kuwapata inakuwa kazi ila ukiwa nae unakuta wengine wanamiminika mpaka unakimbia ?...sasa jaribu kuwapiga chini wote uone moto wake....

Alafu jambo lingine ivi girls huwa wanalichukuliaje swala la kuwa a side chick ?... are they competing with the main chick ? au they are trying to be patient hopping one day they will win u over the main chick ?...au its just a way of girls staying relevant by having a man regardless the mans situation ?...
KiswaEnglish
 
Wadau ivi kwanini ukiwa huna hata mwanamke mmoja kuwapata inakuwa kazi ila ukiwa nae unakuta wengine wanamiminika mpaka unakimbia ?...sasa jaribu kuwapiga chini wote uone moto wake....

Alafu jambo lingine ivi girls huwa wanalichukuliaje swala la kuwa a side chick ?... are they competing with the main chick ? au they are trying to be patient hopping one day they will win u over the main chick ?...au its just a way of girls staying relevant by having a man regardless the mans situation ?...
Aisee ni kweli yaan demu akitongozwa na jamaa aliyetulia huwa wanachomoa ila akitobgozwa na jamaa ambaye ana mahusiano Tatar ah happ huwa wanakubali fast a sijui kwann Hawa watu wanakuwa hivi
 
Aisee ni kweli yaan demu akitongozwa na jamaa aliyetulia huwa wanachomoa ila akitobgozwa na jamaa ambaye ana mahusiano Tatar ah happ huwa wanakubali fast a sijui kwann Hawa watu wanakuwa hivi
kuna jamaa kasema tusibishane na maandiko eti ya kwamba aliyenacho huongezewa hahaaha
 
SAMAHAN KWA KUTOKA NJE YA MADA WAKUU,

Hiv ni kweli kuna uhusiano uliopo kati ya mawingu na uwezo wa kuelewa/fikra/ubongo, ukweli ni kwamb siku ya leo kichwa naona ni kizito sana sio kawaida kbsa sina ninachoelewa, NETWORK haipo kbsa na kila nikijarbu kuelewa ni mwendo wa PLEASE WAIT au CODE ERROR kbsa, sina ninachoelewa sio uzi wala comment na tangu asubuh sina cha msing nilichofanya na watu wawili wameniuliza, mmoja kaniambia "leo mbona sikuelewi" mwingne "leo mbona upo slow sana?" ndo nikaona kbsa kuna kitu kweli, sasa najiuliza ni mawingu au ni ile supu niliyokunywa mgahawan pengne ni ya kondoo au nyumbu, mana kiukweli sikuielewa elewa ila skutaka kujiuliza sana nikahsi pengne ni aina ya mapishi. Napata wasi wasi kwamba pengne hata hapa nimeandka pumb tu,

NOTE: this is SERIAS sitanii kbsa.
 
Ajabu ya wanawake mnatuita viumbe dhaifu lakini anguko lenu lipo mikononi mwetu tuheshimiane tu hata kama mnatupanga lkn tusijuane
kweli kabisa! usilolijua haliwezi kukusumbua..
 
Wadau ivi kwanini ukiwa huna hata mwanamke mmoja kuwapata inakuwa kazi ila ukiwa nae unakuta wengine wanamiminika mpaka unakimbia ?...sasa jaribu kuwapiga chini wote uone moto wake....<br /><br />Alafu jambo lingine ivi girls huwa wanalichukuliaje swala la kuwa a side chick ?... are they competing with the main chick ? au they are trying to be patient hopping one day they will win u over the main chick ?...au its just a way of girls staying relevant by having a man regardless the mans situation ?...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom