AJABU: Chenge aitetea DOWANS ilipwe!

Jamani msisahau kuwa hapa kinachotetewa ni pesa kwa manufaa ya CCM iliyowekwa madarakana kwa ufisadi wa aina hii.
Una maana hizo fedha analipwa DOWANS zinarudi tena CCM kuendeleza ufisadi wao??????????Dowans CCM ni kitu kimoja, kufanyia kampein au kulipa madeni ya kampeini. CDM komboa Mtanzania, tuandamane hakuna kulipa.Wacha Chenge ateme cheche huko Ulaya hatulipi. Tukimkamata akaingia kwenye anga zetu atatueleza, amuulize Mbaraka wa Misri!!!!!!!!!!!!
 
Laana ya kuua inamtafuna anaweweseka, mpaka atubu maovu yake amrudie Mungu ndipo atapona!!!!!!!!!!!!
 
Jee kuna sababu yoyote ya maana kwa kutumia huduma ya mtu halafu usimlipe?


We kweli una akili fupi sana! Ni huduma gani ambayo Watanzania walifaidika nayo toka kwa Richmond/Dowans zaidi ya uongo walioutumia ili kupata mkataba wa kuleta mitambo yao ya kitapeli nchini ambayo wataalam wa TANESCO waliikataa? Inaelekea wewe ni fisadi mwanamke na ndio maana huishi kutetea mafisadi wa chama cha magamba kila kukicha.
 
Kama ipi? Mbona juzi tumeona Kikwete akishinda kesi ya Mabilioni ya Rada, madudu yaliofanywa na Mkapa?

Pumbaf kabisa! Kikwete alishinda kesi hiyo kivipi? alipeleka hata mwanasheria katika kesi ile kutetea maslahi ya nchi? Hebu acha uongo wako!
 
huyu jamaa sio mzima pamoja na shule yake ya harvard eti kasoma na Obama ndio maana anajiona yuko juu, Hawa mapacha watatu A.K.A Magambaz watatumailiza, sasa lilibaki ni kuwafuata huko walikotaja Oysterbay na kuwauliza wanatutaka nini wananchi? ndio maana tunaombaa serikali irudishe majumba yote tuwe wote uswahilini tuone kama watandelea kusema hayo, na ni kwa kuwa wanajifanya wanaulinzi ndio maana wanadharau
 

Pumba tupu! mtetezi wa mafisadi! naona unajitahidi sana kutetea ufisadi unaoiangamiza nchi yetu
 
Hii inaonyesha wazi raisi ananguvu kwa mafisadi
maana kila kukicha chenge anakuja na remix zake mara kugombe uspika,
nadhani kwa sasa chenge ana tena huruma na nchi kwa sababu anazozijua yeye sijuhi anakomoana na nani? au wameona waisimamie kesi wenyewe ili kulinda siri iliyojificha ya dowans kuhusu umiliki wake
 
Chenge anamatatizo, nawasiwas na uraia wake. Huyu bwana sio mzalendo kabisa. Kweli UFISADI IMANI YA HOVYO.
 
Chenge anamatatizo, nawasiwas na uraia wake. Huyu bwana sio mzalendo kabisa. Kweli UFISADI IMANI YA HOVYO.

Chenge ni raia wa Tanzania!ni Mnyantuzu kutoka Bariadi-Itilima.Tatizo ni kwamba anadharau sana!anawapa mandazi wanyantuzu ili wampigie kura!his a.k.a is Mr. Madharau au Mr.No uzalendo!shame on him!
 
Msiogope. Aminini hana lolote. Subirini muone hafiki popote.

Ataungana na mtandao wake na serikali ya warema lakini mwisho wata shindwa tu
 
Jamani Chenge Ni Mwanasheria na Ana Uhuru wote wa Ku-Practice Taaluma yake!
Yaani akatae Dili,Mbona Wauaji Wanatetewa na Mawakili na Wengine wanashinda kesi!
Kikubwa Deni lili au Lisilipwe ila Waliozembea wote hadi Jambo hili kutokea Wababatizwe!
Chenge Kamua wewe Si Wakili?Usitishiwe nyau!
Swala la RADA halina Mashiko hadi pale Wahusika wote Kuanzia Baraza la Mawaziri hadi Watendaji wengine waliofanikisha watakatakapo Orodheshwa afu Tuwashughulikie wote kwa Umoja wao!
Chenge Dunda
 
akatwe ulimi ,kisha atobolewe macho,baada ya hapo akatwe mikono
 
pascal njoo
 
Huyu bwana damu yake ni ya kifisadi.Kama ufisadi ungewezekana kuwa inherited, tungeweza kusema ana genes za kifisadi.

Mimi Nashangaa kwa nini mpaka leo yuko kwenye system yetu.Ni lazima ana kitu extremely abnormal ambacho watu wengine hawana.
 
Kama kweli huyu wa 5 yupo na nia njema amuondoe huyu kwenye uenyekiti wa bunge
 
duh..watu wanangekewa.!kila dili kubwa yumo ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…