JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,118
- 4,879
Dah! yaani jioni nimepumzika zangu baada ya mishe zangu, nimefanya ka usafi kidogo ghetto nina msosi wangu ready kwenye microwave, soda yangu baridi kwenye friji nimeoga safi najiandaa nicheki muvi yangu huku nakula nilale mara paap mlango: "Ngo ngo ngoo" , mimi: "Nani?", msela: "Mimi hapa niko nje hapa".
Dah! Siyo kesi nasema, one time nafungua msela ananiambia ana ishu mbili za emergency. Ok namkaribisha ananieleza ishu za kichovu hazina hata uzito then namsikiliza kamaliza sijaona ishu ya maana yoyote ila msela ndo keshakaa na simu yake kaweka kwenye chaji yangu na ukimuona hapo sijui ndo katoka kwenye mazoezi sijui mihangaiko ananuka jasho ghetto lote halifai.
Yaani mtu kaniharibia mudi, hali ya hewa, na ndo kwanza katulia anacheki TV msosi unanisubiri kwenye microwave nashindwa nimuambiaje msela ili asepe yaani hana hata ratiba ya kuondoka na mimi nataka privacy ghetto kwangu.
Hivi inakuwaje mtu unaibuka tu kwa mtu bila mpangilio wala hata kupiga simu ili mtu ajue kwamba akukwepe vipi?
Dah! Siyo kesi nasema, one time nafungua msela ananiambia ana ishu mbili za emergency. Ok namkaribisha ananieleza ishu za kichovu hazina hata uzito then namsikiliza kamaliza sijaona ishu ya maana yoyote ila msela ndo keshakaa na simu yake kaweka kwenye chaji yangu na ukimuona hapo sijui ndo katoka kwenye mazoezi sijui mihangaiko ananuka jasho ghetto lote halifai.
Yaani mtu kaniharibia mudi, hali ya hewa, na ndo kwanza katulia anacheki TV msosi unanisubiri kwenye microwave nashindwa nimuambiaje msela ili asepe yaani hana hata ratiba ya kuondoka na mimi nataka privacy ghetto kwangu.
Hivi inakuwaje mtu unaibuka tu kwa mtu bila mpangilio wala hata kupiga simu ili mtu ajue kwamba akukwepe vipi?