Aiseeeee!!

Aiseeeee!!

Warren.T

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2015
Posts
900
Reaction score
318
Aiseeeeee!!
 

Attachments

  • 1440787638460.jpg
    1440787638460.jpg
    26.1 KB · Views: 1,479
Hata kwa hekima ya kawaida tu ukijiuliza, zile mashine ziko networked, data zote za mpiga kura ziko kwenye database, kweli CCM waanze kutafuta namba za mpiga kura majumbani wakati wanaweza tu kuprint details zote kutoka kwenye database. Hebu tukae chini tutafakari vitu vingine. Tusumbue akili kidogo tu.
Hizo ni mbinu za kundi fulani linalotaka kuchafua tu hali ya hewa na kutafuta sympathy na visingizio tu.
 
Hata kwa hekima ya kawaida tu ukijiuliza, zile mashine ziko networked, data zote za mpiga kura ziko kwenye database, kweli CCM waanze kutafuta namba za mpiga kura majumbani wakati wanaweza tu kuprint details zote kutoka kwenye database. Hebu tukae chini tutafakari vitu vingine. Tusumbue akili kidogo tu.
Hizo ni mbinu za kundi fulani linalotaka kuchafua tu hali ya hewa na kutafuta sympathy na visingizio tu.

Uwezo wa kufikiri wa hawa ukawa ni mdogo sana. yaan wapo kama nyumbu. akili zao hazijui kufikiri vizuri.
 
Uwezo wa kufikiri wa hawa ukawa ni mdogo sana. yaan wapo kama nyumbu. akili zao hazijui kufikiri vizuri.

Umeliona hilo Mkuu? Yaani mtu anashindwa tu kuona mambo black and white na badala yake anajiweka tu katika kuamini illusions.
 
Hata kwa hekima ya kawaida tu ukijiuliza, zile mashine ziko networked, data zote za mpiga kura ziko kwenye database, kweli CCM waanze kutafuta namba za mpiga kura majumbani wakati wanaweza tu kuprint details zote kutoka kwenye database. Hebu tukae chini tutafakari vitu vingine. Tusumbue akili kidogo tu.
Hizo ni mbinu za kundi fulani linalotaka kuchafua tu hali ya hewa na kutafuta sympathy na visingizio tu.

Hawakuwa wanakusanya tu data bali waliwaambia lengo lao ni kuwapatia mkopo. Data za mpiga kura zinasaidiaje kwenye mikopo?
 
Hawakuwa wanakusanya tu data bali waliwaambia lengo lao ni kuwapatia mkopo. Data za mpiga kura zinasaidiaje kwenye mikopo?

Sijalisikia hilo hata kama walitaka kutoa mikopo, hujui kama kadi ya mpiga kura ni kitambulisho pia? Huoni kuwa hao waliokuwa wanazitaka aidha walikuwa innocent au walikuwa watu fulani wasio na access na mfumo wa kiserikali? Huyo inawezekana ametumika tu kama ni kweli kwa sababu watu wengi tu wanaweza kutumia hivyo vitambulisho kwa mambo mengi tu ya kihalifu. Mfano, mtu akitumia namba yako ya kitambulisho, akaunda kitambulisho feki kwa taarifa zako, si atakuwa amepata utambulisho mpya usio na kumbukumbu ya makosa aliyowahi kufanya nchini au nje endapo atakuwa ni mgeni?
Sasa narudia tena kusema kuwa, hata kama huyo mtu aliekamatwa alikuwa wa kutiliwa shaka, bado ni upuuzi kuihusisha serikali ya CCM kwa sababu hizo taarifa wana uwezo wa kuzipata kwa njia nyingine na si kwa kupita nyumba kwa nyumba kwani ziko kwenye mfumo wa mafaili ya kielektroniki yaliyo na central unit.
 
Hata kwa hekima ya kawaida tu ukijiuliza, zile mashine ziko networked, data zote za mpiga kura ziko kwenye database, kweli CCM waanze kutafuta namba za mpiga kura majumbani wakati wanaweza tu kuprint details zote kutoka kwenye database. Hebu tukae chini tutafakari vitu vingine. Tusumbue akili kidogo tu.
Hizo ni mbinu za kundi fulani linalotaka kuchafua tu hali ya hewa na kutafuta sympathy na visingizio tu.

Umesema vyema sana mkuu, angalau wachache tutakuelewa. Kingine kwa ushabiki huu usiokuwa na maana nadhani ile sheria ya mitandao haijaanzishwa kimakosa.
 
Sijalisikia hilo hata kama walitaka kutoa mikopo, hujui kama kadi ya mpiga kura ni kitambulisho pia? Huoni kuwa hao waliokuwa wanazitaka aidha walikuwa innocent au walikuwa watu fulani wasio na access na mfumo wa kiserikali? Huyo inawezekana ametumika tu kama ni kweli kwa sababu watu wengi tu wanaweza kutumia hivyo vitambulisho kwa mambo mengi tu ya kihalifu. Mfano, mtu akitumia namba yako ya kitambulisho, akaunda kitambulisho feki kwa taarifa zako, si atakuwa amepata utambulisho mpya usio na kumbukumbu ya makosa aliyowahi kufanya nchini au nje endapo atakuwa ni mgeni?
Sasa narudia tena kusema kuwa, hata kama huyo mtu aliekamatwa alikuwa wa kutiliwa shaka, bado ni upuuzi kuihusisha serikali ya CCM kwa sababu hizo taarifa wana uwezo wa kuzipata kwa njia nyingine na si kwa kupita nyumba kwa nyumba kwani ziko kwenye mfumo wa mafaili ya kielektroniki yaliyo na central unit.

Umemtetea sana mhalifu yule..
Sasa, sema huyo jamaa alikua anazikusanya kwa nia gani.??
Maana tuhuma zote zilizotolewa umezikataa, hii ina maana wewe unajua sababu halisi ya yule mjumbe kukusanya zile namba za kadi kupigia kura.
 
ukawa tunamtegemea mungu na ukimtegemea mungu hata kutupa sasa ndio maana kila baya wanalofanya juu ya uukawa mngu anatuonesha ccm kwaheri
 
Hata kwa hekima ya kawaida tu ukijiuliza, zile mashine ziko networked, data zote za mpiga kura ziko kwenye database, kweli CCM waanze kutafuta namba za mpiga kura majumbani wakati wanaweza tu kuprint details zote kutoka kwenye database. Hebu tukae chini tutafakari vitu vingine. Tusumbue akili kidogo tu.
Hizo ni mbinu za kundi fulani linalotaka kuchafua tu hali ya hewa na kutafuta sympathy na visingizio tu.

Yaani wewe ndio unajua zaidi kuliko mhusika mwenyewe aliyakamatwa.
Yeye kasema ametumwa na ngazi za juu za chama chake (CCM) ili akusanye hizo data za vitambulisho vya kupigia kura.
Wewe unakanusha, hivyo wewe una maelezo sahihi zaidi ya yule mjumbe aliyekamatwa..!!
Hebu kajitokeze kwenye swala lile uende ukamtee yule mjumbe...
 
Hivi inawezekanaje mtu akapiga kura bila shahada? Sasa kama mjumbe wa CCM anakusanya shahada za wapiga kura, je hiyo si njama ya makusudi ya kuzuia watu kutekeleza haki yao ya kikatiba? Hujuma ziko za aina nyingi, wanaweza pia wakawa wanakusanya shahada ili kuzuia wafuasi wa vyama vya upinzani wasipige kura.

Na kwanini CCM hawajakanusha habari hiyo?
 
Uwezo wa kufikiri wa hawa ukawa ni mdogo sana. yaan wapo kama nyumbu. akili zao hazijui kufikiri vizuri.

Nyie ndio mna uwezo mkubwa wa kufikiri kiasi marudio ya ilani ya 1995 bado yanawasisimua. Nenda kaulize ofisini kwenu Lumumba 'Mwakyembe atawaponda majukwaani wale wa ESCROW km anavyomponda EL kwa Richmond ambayo hata nyumbu wanajua ni ya nani?'
 
Back
Top Bottom