Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 9,293
- 12,875
Atakupa ushauri wa kuliziba tuu, miye nilikataa nikaomba litolewe tuuu.Kutoa jino si mpaka Daktar akupe ushauri wa kulitoa au jino likiuma ni kwenda hospital na kumwambia Daktar alitoe?
Atakupa ushauri wa kuliziba tuu, miye nilikataa nikaomba litolewe tuuu.Kutoa jino si mpaka Daktar akupe ushauri wa kulitoa au jino likiuma ni kwenda hospital na kumwambia Daktar alitoe?
Jino linauma km msuli wa uume ukikaza unavyouma,Yani hapa nimeoga tayari,nasubiri tu pakuche
Wadudu washaingia kwenye neva za fahamuKuna mjomba wangu aliumwa jino ,watu wakamshauri aling'oe ,kwa ubishi wake akadai analizimisha kwa Konyagi tu.Saa 7 usiku tunashangaa mtu kasimama dirishani analia,eti mimi wa kufa tu leo huku kilio kinafuata na hilo neno mimi ntakufa tu leo.Kufika saa 11 usubuhi mtu hayumo ndani kumbe kanyoosha mwenyewe hospitali ya wilaya.
Pole ndugu, Sasa leo utapata usingizi.Nashukuru nimefanikiwa kulitoa aisee
Hongera mm hpa nataka nikazibe ila haliumiNashukuru nimefanikiwa kulitoa aisee