Mamsosa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2024
- 1,309
- 2,850
Kwani usiku jino unalitumia kwa shughuli gani?Hapa toka saa 7 usiku niko macho nasubiri tu pakuche niwahi hospital kulitoa.
Kwani usiku jino unalitumia kwa shughuli gani?Hapa toka saa 7 usiku niko macho nasubiri tu pakuche niwahi hospital kulitoa.
Dah pole mkuuHapa toka saa 7 usiku niko macho nasubiri tu pakuche niwahi hospital kulitoa.
Shida pakikucha huwa linapoa sanaa, unaarisha kulitoa..hahahaHapa toka saa 7 usiku niko macho nasubiri tu pakuche niwahi hospital kulitoa.
Dawa ya jino kung'oa tuKuna mwaka jino liliniuma usiku nikalitoa na plies
SahihiDawa ya jino kung'oa tu
pole sana ,dawa ya jino ni kung'oa me majuzi nilikuwa wa pili kung'oa achana na jino aiseeHapa toka saa 7 usiku niko macho nasubiri tu pakuche niwahi hospital kulitoa.
Kutoa jino si mpaka Daktar akupe ushauri wa kulitoa au jino likiuma ni kwenda hospital na kumwambia Daktar alitoe?Alafu pakikucha linazuga kutulia please kalitoe tuuu.
Pole Sana ndugu, naelewa vizuri Sana balaa lake..Hapa toka saa 7 usiku niko macho nasubiri tu pakuche niwahi hospital kulitoa.