Aisee Prophet Shepherd Bushiri, hii sifa sasa...

Mtumishi wa Mungu na gari inaitwa sijui nini nini GHOST dah. hataka kama nzuri kiasi gani Hapo kunaujumbe unatumwa.

Hongera zake kupita shortcut kufika nchi ya ahadi mapema
 
Naona unaendelea kujicontradict,imeandikwa wapi kwenye bibilia mchungaji akiwa tajiri anatakiwa asikusanye sadaka ? nani kakuambia kwamba sadaka zinatumika tu kwa ajiri ya matumizi binafsi ya mchungaji ? je unaweza kutuleta kinachoendelea nyuma ya utumishi wa wa Prophet Bushiri ? ukiwa huna taarifa sahihi si vizuri kuongea kitu usichokijua

Umeshinda brother,i rest my case.

Sent from my LG-D855 using JamiiForums mobile app
 
Naskia huyu bwana ame invest hadi kwenye visima vya mafuta, so inawezekana sio sadaka kama watu wanavyojaribu kufikiria. Of course pia anapata hela sana kwa waumini, kumwona naskia unalipia Rand 5000 kama consultation fee, mimi hapa ndio nashindwa kuelewa kabisa. Nahisi mtaj wa hiyo investment yake ulitokana na hayo makusanyo
 
Vanity upon vanity
d9af62d9245728060a3cc52e2ec8788f.jpg
Mawazo ya kimaskini,, kwahiyo ungepewa wewe ungeikataa, au?,,

Sent from my ONEPLUS A3003 using JamiiForums mobile app
 
Afu bado kuna watu wanapigwa na jua kwenda kuwapa sadaka eti wapate upako, wakati jamaa ananunua RR Ghost ya $350K kwa pre celebration..!

Wacha nibakie na ubahahu wangu!
 
Kwahyo ukiwa maskini na unavaa kishamba ndio inaonyesha kunadini na ndio unapenda MUNGU ?
Labda, kama muumini ukivaa vizuri sana utakosa kumpa Bushiri sadaka, matokeo yake kushindwa kununua Rolls Royce/Hummer/BMW! Muumini lazima ujibane "Pasta" ameremete...
 
Kibongo bongo demu akijipinda sana anakuzawadia boxer

Everybody is somebody
usisahau na pair mbili au tatu za soksi pale anapobaini soksi zako za awali zimeanza kutoboka halafu unapuuza kununua mpya.

yaani hapo kajipinda sana...hata mashosti zake atawahadithia.
 
Afu bado kuna watu wanapigwa na jua kwenda kuwapa sadaka eti wapate upako, wakati jamaa ananunua RR Ghost ya $350K kwa pre celebration..!

Wacha nibakie na ubahahu wangu!
Signature yako umeandika fikiria kwa umakini nakukumbusha hiyo signature.mtafure Prophet Bushiri kwenye internet uone kama anategemeea sadaka.mawazo yako ya kimasikini ukiona kila mchungaji tajiri basi anakula sadaka.Fikiria kwa umakini kabla ya kucomment.
 
Signature yako umeandika fikiria kwa umakini nakukumbusha hiyo signature.mtafure Prophet Bushiri kwenye internet uone kama anategemeea sadaka.mawazo yako ya kimasikini ukiona kila mchungaji tajiri basi anakula sadaka.Fikiria kwa umakini kabla ya kucomment.

Shirikisha ubongo kabla ya kuandika chochote..!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom