labda afanywe mboga kwanzaDuh!!!hiyo ndinga ya ukweli kuna kipindi yule kijana anaye jiita simba alijinadi kutaka kuvuta mchuma kama huo.
-Ndumilakuwili-
acha ujingamke wa mchungaji anavaa suluari aisee inatisha.
Naona unaendelea kujicontradict,imeandikwa wapi kwenye bibilia mchungaji akiwa tajiri anatakiwa asikusanye sadaka ? nani kakuambia kwamba sadaka zinatumika tu kwa ajiri ya matumizi binafsi ya mchungaji ? je unaweza kutuleta kinachoendelea nyuma ya utumishi wa wa Prophet Bushiri ? ukiwa huna taarifa sahihi si vizuri kuongea kitu usichokijua
Mwanamke atakiwi kuvaa surualiSuruali kwani inashida ghani ? wapi imeandika surualy ni dhambi ?
mwanamke kuvaa suluari kuvaa viguo vifupi vinguo vya kubana uwo ni ukahaba afu pia mm sijawaza ngono uyo mke wa nabii anazingua...acha ujinga
unawaza ngono sana
Mawazo ya kimaskini,, kwahiyo ungepewa wewe ungeikataa, au?,,Vanity upon vanity
Labda, kama muumini ukivaa vizuri sana utakosa kumpa Bushiri sadaka, matokeo yake kushindwa kununua Rolls Royce/Hummer/BMW! Muumini lazima ujibane "Pasta" ameremete...Kwahyo ukiwa maskini na unavaa kishamba ndio inaonyesha kunadini na ndio unapenda MUNGU ?
usisahau na pair mbili au tatu za soksi pale anapobaini soksi zako za awali zimeanza kutoboka halafu unapuuza kununua mpya.Kibongo bongo demu akijipinda sana anakuzawadia boxer
Everybody is somebody
Signature yako umeandika fikiria kwa umakini nakukumbusha hiyo signature.mtafure Prophet Bushiri kwenye internet uone kama anategemeea sadaka.mawazo yako ya kimasikini ukiona kila mchungaji tajiri basi anakula sadaka.Fikiria kwa umakini kabla ya kucomment.Afu bado kuna watu wanapigwa na jua kwenda kuwapa sadaka eti wapate upako, wakati jamaa ananunua RR Ghost ya $350K kwa pre celebration..!
Wacha nibakie na ubahahu wangu!
usisahau na pair mbili au tatu za soksi pale anapobaini soksi zako za awali zimeanza kutoboka halafu unapuuza kununua mpya.
yaani hapo kajipinda sana...hata mashosti zake atawahadithia.
Signature yako umeandika fikiria kwa umakini nakukumbusha hiyo signature.mtafure Prophet Bushiri kwenye internet uone kama anategemeea sadaka.mawazo yako ya kimasikini ukiona kila mchungaji tajiri basi anakula sadaka.Fikiria kwa umakini kabla ya kucomment.
You should love me too, you never know!haya ndio mambo sasa, by the way I love Bushiri and his wife....
haha, you never know what?You should love me too, you never know!
Rolls Roycehaha, you never know what?