Tangu kampeni zianze kumekuwa na propaganda,mara ooh eneo hili ni ngome ya Ukawa nakumbuka mwanza,mbeya na arusha,ilikuwa ikidaiwa hivyo.Lakini kwa tsunami ya leo jioni nimeogopa,nakujua kuwa kweli Magufuli anapendwa aise.
ukuyaona mabasi yaliyosomba wanafunzi na ngombe. pia fiesta ilikuwepo. kingine malori yalijaa takribani nusu uwanja. nyomi la lowassa huwa ni nouma uwanjani huwa ni roli moja tu na pa system basi.
Hakuna mpenzi wa muziki nchi hii ambaye atajizuia kuhudhuria mikutano ya CCM,
lakini hakuna mpenzi wa mabadiliko ambaye hatahudhuria mikutano ya LOWASA
umeelewa?
Tangu kampeni zianze kumekuwa na propaganda,mara ooh eneo hili ni ngome ya Ukawa nakumbuka mwanza,mbeya na arusha,ilikuwa ikidaiwa hivyo.Lakini kwa tsunami ya leo jioni nimeogopa,nakujua kuwa kweli Magufuli anapendwa aise.
Tangu kampeni zianze kumekuwa na propaganda,mara ooh eneo hili ni ngome ya Ukawa nakumbuka mwanza,mbeya na arusha,ilikuwa ikidaiwa hivyo.Lakini kwa tsunami ya leo jioni nimeogopa,nakujua kuwa kweli Magufuli anapendwa aise.
Hivi kumbe kuzimia ndiyo kigezo cha nini kwani? Sera zinapomwagwa na mtoto mzuri asiye na hiana kama Magufuli mioyo yooote huinuka na kupona wala hakuna tena kuzimia! Watu huzumia pale wanapokosa Tumaini wanapoenda UKAWA na kukutana na mgonjwa na mtuhumiwa wa nanino kibao
Hivi kumbe kuzimia ndiyo kigezo cha nini kwani? Sera zinapomwagwa na mtoto mzuri asiye na hiana kama Magufuli mioyo yooote huinuka na kupona wala hakuna tena kuzimia! Watu huzimia pale wanapokosa Tumaini wanapoenda UKAWA na kukutana na mgonjwa na mtuhumiwa wa nanino kibao
Kuna watoto wengi huu ndio uchaguz wa kwanza kushuhudia wakiwa na ufahamu na pengine ndio mara ya kwanza ubongo wao kupokea taarifa nying za propaganda kwa hiyo uwezo wa kuchuja na kubaki na taarifa sahihi ni mdogo sana.Ukituliza mizuka na muhemko ya Kusiasa ndan ya Nafsi watu wengi wameshafahamu nan ni mshindi hata kama watabisha ili kunogesha joto la kisiasa.kazi ipo kutambua Vyama vitagawanaje asilimia ya ushindi kwny Madiwan na Wabunge na jee itawezekana kuunda serikal bila ya mseto wa vyama? Ila mshindi ana dalili zote za muhimu