Airtel yatoza fedha usajili wa laini za simu wilayani Masasi

Polonium

JF-Expert Member
Oct 10, 2018
233
137
Kama mada inavyosema hapa wilayani Masasi hawa wahudumu wa ofisi ya Airtel wanatoza wateja wao shilingi elfu moja hadi elfu mbili na kusababisha usumbufu mamlaka husika tusaidieni hawa wanakiuka maagizo
 
Huo ni wizi mchana kweupe,labda kama ndiyo mara yako ya kwanza kuwa na line.Lakini kama usajili Mpya sidhani kama kuna kuchajiwa gharama.Vinginevyo mamlaka husika zitolee ufafanuzi
 
usajili huu mpya kaka
Huo ni wizi mchana kweupe,labda kama ndiyo mara yako ya kwanza kuwa na line.Lakini kama usajili Mpya sidhani kama kuna kuchajiwa gharama.Vinginevyo mamlaka husika zitolee ufafanuzi
 
Issue ya kusajili ni ngumu sana.
Biometric devices zinatakiwa zitolewe bure kwa wakala...lkn team leaders wanawauzia....na commition ni kidogo miezi mingine hakuna.
unadhani wakala atarudisha je ela yake?

Na kwa Airtel ili usajili lazima uwe na mb kwenye simu.
Tofauti na voda usajili unatumwa hata kama huna mb.

Kwa wateja wa Airtel nawatoza 500 au siwahudumii
Ila voda bure.
Nipo radhi nikusajilie na vocha nikupe bure tena ya 1,000
 
Issue ya kusajili ni ngumu sana.
Biometric devices zinatakiwa zitolewe bure kwa wakala...lkn team leaders wanawauzia....na commition ni kidogo miezi mingine hakuna.
unadhani wakala atarudisha je ela yake?

Na kwa Airtel ili usajili lazima uwe na mb kwenye simu.
Tofauti na voda usajili unatumwa hata kama huna mb.

Kwa wateja wa Airtel nawatoza 500 au siwahudumii
Ila voda bure.
Nipo radhi nikusajilie na vocha nikupe bure tena ya 1,000
Siku ukiingia kwenys 18 za maofisa wa TCRA utatamani utafute kazi nyingine hata kulima.
 
Back
Top Bottom