Airtel yatosha wezi wakubwa

Airtel yatosha wezi wakubwa

mi nilikwazika sana hiyo juzi kwani kulikuwa na kazi nimeifanya home usiku afu nikaiweka kwenye email yangu nikitegemea asubuhi nitafungua then niiprint na kumpa bosi...cha ajabu bosi anaomba hiyo kazi mimi nikawasha komputer ya ofisi nikaanza kukonect net bila mafanikio, kucheki salio ndo nakutana na 50kb?.......waliotunga sheria ya kuua bila kukusudia waliona mbali sana kwa kweli. at wanasema airtel yatosha.....labda yatosha kutuibia
 
Wanajamvi naandika huu uzi nikiwa muhanga wa vifurushi vya airtel. kuan wanajf wataanza kusema nimetumwa na mitandao mingine...la hasha mi bado natumia airtel but lazima niseme kwani nimekanyagwa.
Mara nyingi nikitumia bando kwenye modem huwa naweka line kwenye simu ili nnitumie airtime, naomba ieleweke wazi kuwa huwa simalizi bando la internet japokuwa huwa sichunguzi sana. lililonisibu jana ni kuwa nimenunua bando la sh 999 nikapewa mb 250 airtime 40minutes nk.nikatumia internet na nikaweka kwenye simu line nikaangalia salio kukawa na airtime 40dkka,na 136mb.cha ajabu naangalia leo salio ili nitumie kwenye internet kukawa kumebaki 50kb, nilishikwa na butwaa...kwani sm yangu haina internet,muda wa kuexpire ulikuwa bado masaa manne.nimekwazika sana na hawa wa.senge.....sijui kwa nini wanatudanganya danganya na hivi vifurushi.
mods naomba msiniban kama nimetumia lugha mbaya ukizingatia sijawatus nyie incase...nilikwazika sana na hawa vichaa
Hawa Airtel ni hatari mi kuna cku nilikua na rafiki zangu nikawaambia kua jamani mi nikiweka hela kwenye mtandao wa airtel hela huisha hata bila kupiga simu.wakabisha nikaweka buku ilipofika asubuhi nikacheki slio nikakuta nna 700 cjapiga cm cjajiunga na caller tune ile hela ilikwisha bila bila kutuma mesji wa kubip mtu mpaka leo nimeifanya simu ya nyumbani yaani tunapiga tu kujua nyumbani kinatokea nn haiwekewi vocha yaani ni cm ya kupokea tu te te te te te te te
 
Tena nafuu airtel. wale wenye matangazo mengi na minara kila baada ya km10 unawajua??? Nunua dakika zile za cheka,katika dakika 15 say ukiongea dakika 7 una bahati. kwao ukiongea dakika 1:02 ni dakika 2.
 
Hawa Airtel ni hatari mi kuna cku nilikua na rafiki zangu nikawaambia kua jamani mi nikiweka hela kwenye mtandao wa airtel hela huisha hata bila kupiga simu.wakabisha nikaweka buku ilipofika asubuhi nikacheki slio nikakuta nna 700 cjapiga cm cjajiunga na caller tune ile hela ilikwisha bila bila kutuma mesji wa kubip mtu mpaka leo nimeifanya simu ya nyumbani yaani tunapiga tu kujua nyumbani kinatokea nn haiwekewi vocha yaani ni cm ya kupokea tu te te te te te te te
Yaliyokukuta nami pia yalinikuta. Kwa hasira mpaka leo sija-recharge muda wa maongezi, nasitegemei tena. Washenzi sana hawa. Hata ukinunua bundle ya dakika 10 unachopewa ni dakika 8.
 
Hivi ttcl wana mobile phone services??
Makampuni yote ya mawasiliano yakiachwa yashindane kibiashara hakuna kampuni inayoweza kushindana na TTCL. Tatizo tumewaachia wanasiasa walafi kuihujumu TTCL tena miongoni mwao wanaopewa heshima kwenye jamii kama Salim A Salim. CCM yote majizi tu.
 
Hivi ttcl wana mobile phone services??
Wanazo huduma za mobile ila hawana mbwembwe za promo, bado wanaishi kwa mazoea.
Naendelea kupokea malalamiko yenu............
Wacha kutuzidisha hasira, leo nachomoa rasmi line ya airtel na modem naichoma moto maana siwezi kumpa ndugu wala rafiki ili aendelee kuibiwa.

Sasa nimeamuwa kuwajaribu Zantel, modem ya tigo ninayo lakini nadhani hawajui hata Internet ni kitu gani speed mwendo wa kobe na kudisconect hovyo.
 
Makampuni yote ya mawasiliano yakiachwa yashindane kibiashara hakuna kampuni inayoweza kushindana na TTCL. Tatizo tumewaachia wanasiasa walafi kuihujumu TTCL tena miongoni mwao wanaopewa heshima kwenye jamii kama Salim A Salim. CCM yote majizi tu.
Kwanza umenikumbusha hivi hii airtel wakati ilivyokuwa ikijulikana kama Celtel si ilikuwa chini ta TTCL? au nimejichanganya? na kama sikosei siri ya airtel kuwa na coverage kubwa country wide kuliko mtandao wowote ni kwamba wako powered by TTCL, hapa ndio utapata jibu.
 
Duuuh! Mmenitonesha kidonda! Mwenzenu natumia Blackberry, mara nyingi huwa najiunga na kifurushi cha wiki cha sh 5000, sasa kuna siku nimejiunga kifurushi cha wiki baada ya hapo nikatumia internet kama siku 3 na ofisini wakawa wameniwekea salio la sh, 10000, cha kushangaza siku ya sita kifurushi kimeisha! Naangalia salio nijiunge tena nikakuta salio ni sh 6800! Kwa kuwa nilikuwa karibu na makao yao makuu nikaamua kwenda! Kufika pale jamaa anajikanyaga kanyaga tu ooh mara haukujiunga vizuri, nikamwambia ww ndo upo kwene system kwanini unakisia? Data zote si zipo? Angalia !! Nilipoona uzushi nikaondoka zangu shingo upande! Ila ki ukweli jamaa hawafanyi fresh kama wamepita huku jamvini nadhani ujumbe umewafikia wajirekebishe! Biashara ni mashindano wanatakiwa kuchangamsha akili zao kutatua matatizo ya wateja wao! Yangu ni hayo tu!
 
Wanazo huduma za mobile ila hawana mbwembwe za promo, bado wanaishi kwa mazoea.

Wacha kutuzidisha hasira, leo nachomoa rasmi line ya airtel na modem naichoma moto maana siwezi kumpa ndugu wala rafiki ili aendelee kuibiwa.

Sasa nimeamuwa kuwajaribu Zantel, modem ya tigo ninayo lakini nadhani hawajui hata Internet ni kitu gani speed mwendo wa kobe na kudisconect hovyo.

punguza hasira jombaa....
 
TCRA mbona hamjibu haya madai? au hamna uhalali wa kuyashughulikia?
 
Last edited by a moderator:
Mi mwenyewe wanankwaza mbaya

TCRA hata wao hawaaminiki, ni kama vile wanao ubia na Makampuni ya Simu.
Sioni sababu kwa nini TCRA washindwe kujua jinsi Makampuni ya Simu za mkononi yanavyotuibia. Kazi yao nini? Wafanyakazi wa TCRA hawatumii simu za mikononi? How do the they regulate kama wanategemea sisi tuwapelekee taarifa?
Ukweli ni kuwa kuna wizi mwingi tunafanyiwa na haya Makampuni ya Simu za mkononi.
 
kuwa mzalendo: ktk data TTCL hawana mshindani hamia huko.ktk voice endelea na hao maana walibana uwezo woote wa TTCL kujiytanua wakijidai kampuni mwenza. ni wezi tu
Wanajamvi naandika huu uzi nikiwa muhanga wa vifurushi vya airtel. kuan wanajf wataanza kusema nimetumwa na mitandao mingine...la hasha mi bado natumia airtel but lazima niseme kwani nimekanyagwa.
Mara nyingi nikitumia bando kwenye modem huwa naweka line kwenye simu ili nnitumie airtime, naomba ieleweke wazi kuwa huwa simalizi bando la internet japokuwa huwa sichunguzi sana. lililonisibu jana ni kuwa nimenunua bando la sh 999 nikapewa mb 250 airtime 40minutes nk.nikatumia internet na nikaweka kwenye simu line nikaangalia salio kukawa na airtime 40dkka,na 136mb.cha ajabu naangalia leo salio ili nitumie kwenye internet kukawa kumebaki 50kb, nilishikwa na butwaa...kwani sm yangu haina internet,muda wa kuexpire ulikuwa bado masaa manne.nimekwazika sana na hawa wa.senge.....sijui kwa nini wanatudanganya danganya na hivi vifurushi.
mods naomba msiniban kama nimetumia lugha mbaya ukizingatia sijawatus nyie incase...nilikwazika sana na hawa vichaa
 
Back
Top Bottom