Airtel wapandisha vifurushi vya OMG

Airtel wapandisha vifurushi vya OMG

Huku ni kukata tamaa. Viettel labda itatuokoa. Vipi Smart, kuna aliyewahi kutumia?

Sio kukata tamaa........sasa tutafanyaje na ndio tumeshajikuta kwenye linchi la kipuuzi kama hili........
 
samsung galaxy note 1,350k brand new,0799363620
 
Bado wako cheap mno.kuliko tigo tigoni matako ya kuku mb8 still net inakata viuno
 
Mie nishahama Airtel kitambo now natamba na Zantel wiki kwa 1gb kwa sh1000 tu... Sasa na wao wakiongeza bei dahhhh sijui nitakimbilia wapi mana hili linchi hili arghhhhh..NB: Karibuni Zantel ila njooni polepole mana mkijazana kwa mkupuo watashtuka hawa jamaa itakuwa shida zile zile.
 
Mie nishahama Airtel kitambo now natamba na Zantel wiki kwa 1gb kwa sh1000 tu... Sasa na wao wakiongeza bei dahhhh sijui nitakimbilia wapi mana hili linchi hili arghhhhh..NB: Karibuni Zantel ila njooni polepole mana mkijazana kwa mkupuo watashtuka hawa jamaa itakuwa shida zile zile.

Unajiungaje iyo huduma?
 
Mie nishahama Airtel kitambo now natamba na Zantel wiki kwa 1gb kwa sh1000 tu... Sasa na wao wakiongeza bei dahhhh sijui nitakimbilia wapi mana hili linchi hili arghhhhh..NB: Karibuni Zantel ila njooni polepole mana mkijazana kwa mkupuo watashtuka hawa jamaa itakuwa shida zile zile.

Nakuja mkuu nakuja nipe mautundu
 


Kaka hebu fafanua hapo kwenye 'overheating effect' na mtando hiyo imekaaje?

3G ya Airtel inasababisha simu kupata joto sana, tofauti na nnavyotumia Tigo au mitandao mingine.
Sielewi frequency band zao zimekaaje.
 
Aisee hapo wamenishika pabaya
2000 Sitoi ngo
Nauza simu naamia ya tochi
 
mimi ndo nilikuwa na mpango wa kuhamia huko kumbe nao ni kama voda.

ni kweli make hata speed tayari ishatoweka sahivi ni kama unatembea kwa miguu dar- kigoma
 
Mie nishahama Airtel kitambo now natamba na Zantel wiki kwa 1gb kwa sh1000 tu... Sasa na wao wakiongeza bei dahhhh sijui nitakimbilia wapi mana hili linchi hili arghhhhh..NB: Karibuni Zantel ila njooni polepole mana mkijazana kwa mkupuo watashtuka hawa jamaa itakuwa shida zile zile.

unajiungaje
 
zamani kwa 1000 nilikuwa napata 1.2gb, leo asbh nimepewa 1gb bundle kwa 1000, hao ni airtel.
 
Back
Top Bottom