Heaven on Earth
Platinum Member
- Mar 21, 2013
- 37,233
- 26,753
umeshawahi kuwaona wanavyotia huruma kwa kukosa hata shilingi hamsini...??? Hata kazi unaifanya wewe na wengine, kuna watu wanakuonea huruma...
halafu kwani ni wadada tu ndio wanaosimama mbona hata wakaka wapo
au mtoa mada hajawaona!!!!!!