Mimi nimehamia rasmi zantel
Karibu kamwe hatojutia maamuzi yako
Tarehe 15,Halotel wanaanza kazi. Nawangoja kwa hamu
Nami nataka hamia huku si mida mrefu, ebu maomba nijize vifurushi vyao vikoje?
Asee halotel ni shida ukichkua lain,unapata dk 300 halot-halot,sms bila kkomo na mb 5312=5.3gb kwa mwez bt 2nazndua tar 15
Kwa Tshs 500 Airtel OMG unapata 300mb kwa siku, achana na yatosha.
Habari zenu,
Sijajua nafasi ya TCRA ni ipi ktk kumlinda mlaji. Naona makampuni ya simu yanafanya yatakavyo.
Airtel hatimaye na wao kifurushi cha 500 cha yatosha sasa SIO CHA MASAA 24. Kama una dk zako zimebakia ikifika saa sita usiku, ZINAPUKUTIKA.
Pia nilikuwa na dk kadhaa za yatosha ya 500 ambazo nilikuwa na carry forward kama sizitumii zote ila naona sasa HAMNA ku carry forward maana dk zangu zote nazo wamekwapua licha ya kutop up ndani ya muda.
Huu ni ukiritimba uliovuka mipaka, juzi juzi voda nao wefinya MB mpaka 1, HAIPENDEZI KABISA. Na hawa jamaa huwa wanafanya mabadiliko kwa kuambiana, Tujiandae na Tigo nao watabadili kitu si muda mrefu.
Airtel now ni MB 4
Kama wewe ni mtumiaji wa airtel nunua vocha za UNI!! 1500/= unapata 1gb dk 140 na dk 5 mitandao yote kwa wiki!!! na kuna za mwezi ambazo ni 6000 4gb na madakika ya kutosha!!! haya maswala ya jero jero unaeza umwa kichwa ukichangaya na mgao wa umeme ndio unaeza hama hii nchi kabisa!!!Ata ile MB 100 za bure za kuanzia saa 12 hadi saa 2 asubuhi NAYO WAMEISTOPISHA BILA TAARIFA..
Nami nataka hamia huku si mida mrefu, ebu maomba nijize vifurushi vyao vikoje?
Shida ya zantel, kama hauko zanzibar au dsm basi kwa simu huta enjoy internet!!Karibu kamwe hatojutia maamuzi yako
aiseee, ngoja tutajaribisha zari huko, ila dk 5 kwa mitandao yote nayo duh, hii ila imekaa sawa upande wa MB!Kama wewe ni mtumiaji wa airtel nunua vocha za UNI!! 1500/= unapata 1gb dk 140 na dk 5 mitandao yote kwa wiki!!! na kuna za mwezi ambazo ni 6000 4gb na madakika ya kutosha!!! haya maswala ya jero jero unaeza umwa kichwa ukichangaya na mgao wa umeme ndio unaeza hama hii nchi kabisa!!!
Huku bandle mara mb1 huku mgao wa umeme!!!Hii ndio serikali tuliochagua..kila siku maisha yanazidi kutubana wananchi...mitandao wanajiamulia tu kupandisha
Shida ya zantel, kama hauko zanzibar au dsm basi kwa simu huta enjoy internet!!
Uko sahihi na mimi nanunuaga mara nyingi kwa ajili ya bandle!!aiseee, ngoja tutajaribisha zari huko, ila dk 5 kwa mitandao yote nayo duh, hii ila imekaa sawa upande wa MB!
Huku bandle mara mb1 huku mgao wa umeme!!!
Ama kwel wafanyabiashara wanatuendesha km matahila
Asee halotel ni shida ukichkua lain,unapata dk 300 halot-halot,sms bila kkomo na mb 5312=5.3gb kwa mwez bt 2nazndua tar 15