SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,616
- 7,863
Sijaliona katika siku za karibuni. Naliona hilo la kutuma pesa "BURE"!kwani jf wameshalitoa????
Sijaliona katika siku za karibuni. Naliona hilo la kutuma pesa "BURE"!kwani jf wameshalitoa????
nikituma 99,500 wanacharge shilingi ngapi?
nimetuma mahar UKWENIIII,,,WAMEKATAAAAA
Haya matangazo Likuki ya Aitel Money kiladakika kwa kila radio eti ni free service...kwa nini wasiwe wazi kuwa ni from 01-99,000/=???? ukituma zaidi ya hapo ukikatwa unastahili kuwashtaki na kuwadai mabilioni kwa kuwahadaa wananchi..competitors hamlioni hili? Na tume ya fair competition inasemaje kwa matangazo kama haya
nimetuma mahar UKWENIIII,,,WAMEKATAAAAA
wanakata kiasi gani mfano nikituma laki moja??
hawakati ila kuanzia 100,001 wanakata.
ishu kumbe ni kutuma ama kuchukua kwa mafungu. mfano kama una laki mbili tuma ama chukua elfu hamsini hamsini mpaka zifike lak2 nkMwisho wa free ni 99.999 ikifika laki tu wanakata.
wezi wakubwa awa....kwa nini hawaweki tarriffs zao wazi? inshort m pesa na tigo pesa ndo mamboKha....!! sasa wanakata ngapi ukituma hiyo.
lazima watakuwa wameweka restriction kwa akaunti ukishareach kiwango kwa siku isitume tena labda utumie line nyingineishu kumbe ni kutuma ama kuchukua kwa mafungu. mfano kama una laki mbili tuma ama chukua elfu hamsini hamsini mpaka zifike lak2 nk
Utawashtaki kwa kosa gani? Hebu sikiliza tangazo lao kwa makini sana halafu utaelewa. matangazo kama haya ni ya kawaida duniani leo wewe unapaswa u-some kati ya mstari ili uelewa vizuri. Ukikurupuka SHAURI YAKOHaya matangazo Likuki ya Aitel Money kiladakika kwa kila radio eti ni free service...kwa nini wasiwe wazi kuwa ni from 01-99,000/=???? ukituma zaidi ya hapo ukikatwa unastahili kuwashtaki na kuwadai mabilioni kwa kuwahadaa wananchi..competitors hamlioni hili? Na tume ya fair competition inasemaje kwa matangazo kama haya
nimeyasikiliza sana hayana umakini huo...Utawashtaki kwa kosa gani? Hebu sikiliza tangazo lao kwa makini sana halafu utaelewa. matangazo kama haya ni ya kawaida duniani leo wewe unapaswa u-some kati ya mstari ili uelewa vizuri. Ukikurupuka SHAURI YAKO
Bro 'vigezo na masharti kuzingatiwa' inwezekana jamaa hawa katika utafiti wao wameona kuwa Tsh 1-99,000 gharama wanazo chaji zinaweza kuhimiliwa na wale wanaotumia mtandao wao kuanzia Tshs 100,000 na kuendelea hvi wameamua kutangaza kihivyonimeyasikiliza sana hayana umakini huo...
Kweli wanatufanya sisi mabwege.