Semahengere
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,186
- 1,955
Habari wadau,
Kuna mchezo MCHAFU unachezwa na mtandao wa Airtel kila mtumia Airtel hapa JIJINI Arusha anakutana na changamoto hii
Ukininua bando wakishakutumia text kuwa umepatiwa kifurushi Cha Dak 130 na GB 1 na sms labda 30 kwa wiki moja, wanakusubiri uanze tu kutumia. Ukipiga simu moja tu ukiongea hata sekunde 40 alafu ukatuma hapo text 3 unatumiwa ujumbe kuwa kifurushi chako kimeisha.
Na kweli ukiangalia kila kitu kimeisha. Sasa ukiwauliza wanavyokuwa wakali, wanasema huku inaonyesha umeshatumia kifurushi chako kimeisha. Ukiwauliza kimeishaje, anasema kwa matumizi uliyotumia tunaomba tuongee na wateja wengine Asante.
Nilienda kuwauliza ofisini baada ya kunipiga bando la 10000. Mhudumu akiingia mtandaoni kucheki unamcheki tu usoni unaelewa kuna kitu kinachezwa huko. Mwisho anakuambia Kaka tatizo lako tutalishughulikia within 24 hours.
Mwisho unaona hakuna majibu unaweka lingine maisha yaendelee. Kuna mwingine kasema Serikali ndio inamiliki Airtel kwa sasa kwa hiyo tuilalamikie Serikali. Sasa kweli Serikali mnatupiga tozo na tumekubali tena mnatuibia na vifurushi kwa kutupa fake bundle tafadhali jamani Serikali.
Kuna mchezo MCHAFU unachezwa na mtandao wa Airtel kila mtumia Airtel hapa JIJINI Arusha anakutana na changamoto hii
Ukininua bando wakishakutumia text kuwa umepatiwa kifurushi Cha Dak 130 na GB 1 na sms labda 30 kwa wiki moja, wanakusubiri uanze tu kutumia. Ukipiga simu moja tu ukiongea hata sekunde 40 alafu ukatuma hapo text 3 unatumiwa ujumbe kuwa kifurushi chako kimeisha.
Na kweli ukiangalia kila kitu kimeisha. Sasa ukiwauliza wanavyokuwa wakali, wanasema huku inaonyesha umeshatumia kifurushi chako kimeisha. Ukiwauliza kimeishaje, anasema kwa matumizi uliyotumia tunaomba tuongee na wateja wengine Asante.
Nilienda kuwauliza ofisini baada ya kunipiga bando la 10000. Mhudumu akiingia mtandaoni kucheki unamcheki tu usoni unaelewa kuna kitu kinachezwa huko. Mwisho anakuambia Kaka tatizo lako tutalishughulikia within 24 hours.
Mwisho unaona hakuna majibu unaweka lingine maisha yaendelee. Kuna mwingine kasema Serikali ndio inamiliki Airtel kwa sasa kwa hiyo tuilalamikie Serikali. Sasa kweli Serikali mnatupiga tozo na tumekubali tena mnatuibia na vifurushi kwa kutupa fake bundle tafadhali jamani Serikali.