Airtel loophole

30000 tu nakupa line yangu mwaka mzima unlimetd
Sasa wee Jipu kweli,maana watu wana ku pm huwajibu,unategemea watakutafuta kwa ramli ama?Jifunzeni kusoma PM wakuu!Ptuuu
 
mbona kakimbia tena anaanzisha maujanja kumbe hajui chochote
 
mbona kakimbia tena anaanzisha maujanja kumbe hajui chochote

boya tu huyo jamaa, hana lolote. Eti ananiPM ananiuliza kama nina maujanja yoyote ya free net. Kumbe hana jipya.
 
huyu jamaa naye alitaka aonekane ana kitu kumbe hana lolote si lazima nawe kutoa kitu kama hujui acha kuzngua watu #*@
 
sitamwaga maujaja hapa bt 2mor'w nitawa2pia my # & email kila m2 anichek kwa muda wake...t takes only 3 min.

Huna lolote wewe tapeli tu ww. Wajanja wanamwaga vitu hadharani wengine tunakamua pia.
 

mkuu tushare hayo maujanja my email is chukizzle@gmail.com
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…