Airtel loophole

Umepotea njia wewe nendaga zako kwenye siasa, hii ndio teknolojia bana...........
 

Ondoa siasa zako hapa hivi unawaonea huruma hawa wakwepa kodi?
 
Hiyo bundle ya 2500 utashushia videos za lectures(kwa wanafunzi) ama kushushia movies jombaa?Kama una hela wewe,unafuata nini hapa?Acha kukandia bila sababu,gawa hizo bundle bure kama vipi mkuu!
 
Hiyo bundle ya 2500 utashushia videos za lectures(kwa wanafunzi) ama kushushia movies jombaa?Kama una hela wewe,unafuata nini hapa?Acha kukandia bila sababu,gawa hizo bundle bure kama vipi mkuu!

kwanza huyo jamaa anamatatizo. Hajui hiyo 2500 ni kwa ajili ya simu, yeye anaitumia kwenye modem.
 
Kuna njia mbili...

1st..download opera 5.1 or opera 4.2 au opera min web browsing 6.5.2 den install configuration za airtel live/mobile office then set http as a default in ur browser network instead of socket alafu shut down ur pc o phone alafu ni chek nikupe next step..!!
 

then......
 
Mkuu kwataarifa yako wenyewe wapo hapa wanaufatilia huu uzi kwa karibu kabisa ukimaliza tu maelekezo wana cut off
Bora PM
 

We mzushi wewe nimekustukia what is the relationship ya opera na pc?
 

Inaonesha ni jinsi gani una akili mgando, unafikiri wee ukitumia 2500 watanzania wote wanatumia hivyo? watu tunashusha na kupandisha mafaili makubwa bila msaada kama huu utawezaje kushusha mfano file la 6GB. ukiona wenzako wanashughulika kama halikuhusu piga kimya
 
hajuna wizi hapa tunatumia kodi yetu maana hawa jamaa wa mitandao wanapat amahela kibao alafu bado gharama zipo juu kishenzi kudadeki
 

cnc ni nini hiyo jamani mniambie
 

Hawa wenye mitandao ya simu ni wezi tena wanyonyaji wakubwa, unaonaje ukianza nao?....unaongelea mb400 kwa wiki?....watu wanashusha gb5 kwa siku!Wacha vijana wajilipe, maana hata kodi hayalipi ya kutosha haya majitu:lol:
 
Mkuu kwataarifa yako wenyewe wapo hapa wanaufatilia huu uzi kwa karibu kabisa ukimaliza tu maelekezo wana cut off
Bora PM

mkuu mwanzisha thread hana lolote lile wala jipya kwani wao hawawezi mtumia PM ??.
Inaonekana hajawah tumiwa PM nin??.
 
:closed_2:

HUYU JAMAA NI TAPELI, KAMA SI TAPELI ATAKUWA ANARINGA ANAJIONA NDIO AMEWEZAAAAA.




 
:closed_2:

HUYU JAMAA NI TAPELI, KAMA SI TAPELI ATAKUWA ANARINGA ANAJIONA NDIO AMEWEZAAAAA.





Sounds like....

Ngoja tudhibitishe kwa wenye akili zao!
Maana wenyewe naona haijawaingia kichwani au labda bado wanajiandaa kuja kutupa mambo.
Maana naona wamekaa kimya. Tangu jana?! Hey, e2themiza where r u bro?!
 
30000 tu nakupa line yangu mwaka mzima unlimetd
 
opera mini na pc haina mahusiano. halafu mwenye kutaka kuleta vyombo haji na mapomafuzi kama hayo ya kujiona na kujihisi umejaa mafuta. peleka mbele ujinga wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…