baadh ya wanafunzi waliweza kuangalia post za vyuo kupitia lain za cm ya mkonon AIRTEL kwa muda wa masaa kadhaa tar 17 augost 2013 kwa kubofya *150*44# na kufuata maelekezo wakat tcu wao bd hawajatangaza na kutoa oficialy bt muda c mref airtel wakasitisha huduma hy kwanin?