Siku chache zilizopita nilipokea simu toka kwa mtu ninyemfahamu japokuwa si mtu mwema. Nafahamu anatafuta uhai wangu kwa siri. Kwa kujua hilo huwa akiniuliza niko wapi simwambii ukweli. Aliniuliza uko wapi, nikamwambia niko Morogoro ila nilkuwa maeneo ya Ubungo usawa wa stendi ya mkoa.
Baada ya siku mbili akanijulisha kuwa kwa nini najifanya mjanja wakati yeye amefuatilia AIRTEL wamemwambia exact location nilipokuwa. na walimpa location kwa e-mail na akaifoward kwangu, bahati mbaya akasahau kuficha adresses za wafanyakazi wa Airtel. Nikaenda airtel na kuhakiki kuwa kweli wapo na senior officers bila wao kujua kwa nini nawaulizia.
1. Je wanasheria mnanishauri nini kisheria?, nifungue kesi na ni jinai au? Damage ni kiasi gani?
2. Je Airtel maana ni sponsors wa hii JF mnasemaje katika hili?
3. Usalama wangu uko wapi kama Airtel wanaweza to taarifa za location kwa urahisi hivi?
4. Usalama wa watanzania wanaotumia AIRTEL uko wapi? wanaweza shirikiana na majambazi hawa watu
Msaada tafadhari
Baada ya siku mbili akanijulisha kuwa kwa nini najifanya mjanja wakati yeye amefuatilia AIRTEL wamemwambia exact location nilipokuwa. na walimpa location kwa e-mail na akaifoward kwangu, bahati mbaya akasahau kuficha adresses za wafanyakazi wa Airtel. Nikaenda airtel na kuhakiki kuwa kweli wapo na senior officers bila wao kujua kwa nini nawaulizia.
1. Je wanasheria mnanishauri nini kisheria?, nifungue kesi na ni jinai au? Damage ni kiasi gani?
2. Je Airtel maana ni sponsors wa hii JF mnasemaje katika hili?
3. Usalama wangu uko wapi kama Airtel wanaweza to taarifa za location kwa urahisi hivi?
4. Usalama wa watanzania wanaotumia AIRTEL uko wapi? wanaweza shirikiana na majambazi hawa watu
Msaada tafadhari