Airtel kujitoa kwenye Data services?

Airtel kujitoa kwenye Data services?

Kuna tetesi kuwa baada ya kuelemewa sana, huenda Airtel ikajitoa kabisa kwenye huduma ya data na Internet hivyo kubaki kwenye voice tu.
Spidi ndogo ya mtandao huo kwa sasa, huwezi hata kuattach kafaili kadogo, inafanya wengine tukubali ndio wanaishia hivyo

Ha ha ha what a joke! Data ndio mpango mzima. Hata voice inaelekea kwenye mfumo wa data-viber na skype.
 
Take that with a huge grain of salt, it's impossible if not improbable to leave the data business. They may as well shut down the company.

Mkuu hizi tetesi umezipata wapi? Na wewe unaamini Airtel company wata giv up internet services n data for only that reason?
 
Mkuu hizi tetesi umezipata wapi? Na wewe unaamini Airtel company wata giv up internet services n data for only that reason?

I'm not in that bandwagon, nimesema ni impossible or even improbable for them to shutdown data service...
 
Hakuna mtandao wa uhakika kama aitel amini nawaambieni.na myie mnao lalamika kuhusu uslow wa internet labda mazingira ya huko ushirombo kwenu mboa wengine tunapeta nayo hadi raha,

Sawa mkuu inaonekana huko kwen wilaya ya mugumu net iko safi sana!
 
Hakuna mtandao wa uhakika kama aitel amini nawaambieni.na myie mnao lalamika kuhusu uslow wa internet labda mazingira ya huko ushirombo kwenu mboa wengine tunapeta nayo hadi raha,

Hakuna mtandao wenye Internet ya kasi hapa TZ kama voda,pinduka,kunjuka,vunjika,mwisho huo ndo ukweli,voda wametulia sana..
 
Back
Top Bottom