salamu wakuu.....!! najua wadau wote mnapatikana hapa>>> airtel kama inawezeka...kwa sisi watumia wakubwa na internet....twaomba kama mtu ukitaka kuongeza bundle ....uweze sio mpk uliweka imalizike....then kama kuna credit ktk line na inatumika bila kujua..nawakilisha >!!
salamu wakuu.....!! najua wadau wote mnapatikana hapa>>> airtel kama inawezeka...kwa sisi watumia wakubwa na internet....twaomba kama mtu ukitaka kuongeza bundle ....uweze sio mpk uliweka imalizike....then kama kuna credit ktk line na inatumika bila kujua..nawakilisha >!!
Naomba nijulishe gharama ya hizi bundle 250 MB, 500 MB, 1 GB, 2 GB, 5 GB, 15 GB, 30 GB, WEEK and MONTH na unatumia kwa muda gani. Ile njia ya wali imekataa ndo wakaniletea hizi bundle sasa sijui gharama zinaendaje?