Leo nilijiunga na kifurushi cha wiki cha sh.1999,ambacho unapata dk 35 sms 1000 na mb 125.Cha kushangaza kabla ya kutumia internet salio lilionesha nina 0byte.Nimejaribu kuwapigia watu wa huduma kwa wateja,wanapokea halafu kabla sijamaliza kujieleza wanakata simu.Huu ni uhuni