Sijawahi kutumua huduma ya Airtel money, ila naona matangazo yao "hakatwi mtu hapa" ni kweli ? mimi hainiingii akilini huduma hii iwe bure, na kama kuna gharama wanakata kinyume na wanavyoji promoti, TCRA wanalijua hili ?
Hata mimi huwa silewi mawakala wao wanafaidika na nini kwa kushinda barabarani na kumsubiri mteja wa airtelmoney aje atoe bila kukatwa.Hebu mawakala na wajuvi tujuzeni kwa hili.
Ahsante mkuu,nime ku noki.Ni kweli hawakati, na mawakala wanawalipa wao tena mara mbili ya kamisheni yao stahiki na kila wiki wanatoa repoti kwa wakala.
Niliwahi kuwauliza wakasema eti wao sasa wanatoa ofa kwa wateja na mawakala wao kwa usumbufu waliowahi kuupata .
Ahsante mkuu,nime ku noki.Ni kweli hawakati, na mawakala wanawalipa wao tena mara mbili ya kamisheni yao stahiki na kila wiki wanatoa repoti kwa wakala.
Niliwahi kuwauliza wakasema eti wao sasa wanatoa ofa kwa wateja na mawakala wao kwa usumbufu waliowahi kuupata .